Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

*ARSENAL TACTICS VS SPORTING LISBOA*

Timu zote Zilianza na Mchezo wa *4-3-3* Tofauti ni Kwamba *Arsenal* Kwa Muda Mrefu Walicheza *4-3-3* Bila ya kufanya Mabadiliko ya Kimfumo Kutokana na Kukosa Mabeki wa Pembeni Wenye Kasi na Muda Mwingi Tulipita Kwenye Kiungo Kuna Wakati Dakika *15* za Mwanzo Tulijaribu Kucheza *3-2-3-1* ama *3-5-2* ila ilishindikana Kutokana na Kasi ya kina *Bruno Fernandez na Luis Nani*

Sporting Lisbon wao Muda Mwingi Walicheza *4-3-3 na 4-5-1* na Kazi yao Kubwa Uwanjani ni Kukaba Kwa Haraka Katika Eneo Lote la Uwanja Ikiwemo Eneo letu la Ulinzi

Arsenal Leo ilikuwa na Wakati Mgumu Kwa Sababu
1.Kasi ya Sporting
2.Kukosa Natural Full Backs

Pamoja na Juhudi za Coach *UNAI EMERY* ya Kumuingiza *Alex Iwobi* na Kutengeneza *Pacha na Alexander Lacazete* Pia Haikusaidia Kufanya Timu Iwaelemee *Sporting Lisbon* na Kitu Pekee Alichowin Coach wa *Arsenal* ni Kumfanya *Lucas Torreira* Kuwa Match Coordinator na Kumpa Nafasi *Granith Xhaka* Kuanza Kukabia kwenye Eneo la Katikati ya Uwanja Sambamba na Kupeleka Mashambulizi

Kwa Kifupi *Mechi* ilikuwa Very Tactical na Kwa Aina ya Player wa Arsenal leo Hasa Kwenye Full Back na Kasi ya Sporting Lisbon Kuanzia Dk ya Mwanzo Mpaka Mwisho na Hata Goli Letu Kupatikana ni Juhudi Binafsi Sababu Tumetengeneza Nafasi 2 tu na Kufunga Nafasi 1 ya Dany Welbeck

I Hope Match Ijayo Dhidi ya *Crystal Palace* Tutakuwa na Wakali Wetu Kama *Héctor Belerin na Nacho Monreal* Ambao ni Msaada Mkubwa sana Katika Kutengeneza Mashambulizi Kwa Kutumia Mfumo wa *4-2-2-2*
 
Nimeshuhudia mazoezi ya Arsenal na kwa kweli siku za mwishomwisho za Arsene Wenger hakukuwa na ari yoyote ya kutafuta ushindi.

Yaani wachezaji walifanya mazoezi kwa mazoea na wakati mwingine wachezaji hao walikuwa wakichelewa kuingia mazoezini na hata wakiwa kwenye mazoezi walikuwa kila mtu akijifanyia mazoezi yake anavyofahamu yeye mwenyewe.

Unai Emery aliposaini tu mkataba akaanza kulishughulikia hili tatizo akaweka na gym kabisa (pitch-side gym) katikati ya uwanja na kuwa anakusanya data za kila mchezaji na namna anavvofanya mazoezi yaani performance index.

Moja ya matatizo makubwa ya wachezaji yalikuwa ni uzembe na watu kama Mesut Ozil alikuwa akionekana kabisa anafanya uzembe kiasi cha kulaumiwa na watu wengi.

Lakini kumbe kulikuwa na vitu kama vile uzito wa mwili na ujazo wa nyama mwilini ambapo Emery aliangalia na kuhakikisha vitu hivyo vinapunguzwa na matokeo yake sasa hivi Arsenal inacheza kwa kasi zaidi na wachezaji wengi wanaonekana ni wepesi kwenye kukimbia yaani "sprinting"

Arsenal imeonyesha mabadiliko lakini bado sehemu ya ulinzi ina tatizo kwani tunahitaji beki mshahara wa uhakika.
Mwana kunywa bia hapo ulipo nalipa kwa mpesa huku nilipo
 
Torreira really is a class act, changed game again when he came on with his intensity and forward passes.
He made 43 passes whilst playing only 32 minutes, compared to Elneny’s 27 in 58 minutes. #AFC #COYG #SPOARS
IMG-20181026-WA0002.jpeg
 
Cech has not travelled to Portugal . Would appear to indicate Leno will start against Sporting and Cech is in line to play at Crystal Palace on Sunday.
 
Leno anaweza kuchukua mikoba na Neuer Ujerumani kama ataendelea hivi kwenye klabu yake. Tatizo Unai anaweza kumrudisha Cech akipona, ila Leno yupo vizuri sana.
Cech anarud golin game ya palace,

Bado.leno anajifunza vitu vingi kwa cech,

Leno atadaka sana tu, bado ana umri mdogo,
 
On playing on the right rather than the middle: "For me it is not my best position, I think my best position is as a No 10 but at the end of the day I have to accept and respect what the coach decides.

"So I have to give everything I can on the right side, it's new for me but it's fun for me as well, especially with the goals and I will continue to give my best on that side."


Moja ya swali ambalo ozil anajibu bila kupapasa macho!
IMG-20181024-WA0069.jpeg
 
Kwa mfumo wetu wa sasa kwa kuanzia mashambulizi Nyuma Leno yupo vizuri sana ukilinganisha na Cech...Ila Cech in general bado ni kipa mzuri...

Ila Torreira ananikosha sana Akiwa Kati pale..hana masikhara uwanjani...Ananikumbusha Gilberto Silva...

Daah tulimiss sana wachezaji wa Sampuli hii...
Cech anarud golin game ya palace,

Bado.leno anajifunza vitu vingi kwa cech,

Leno atadaka sana tu, bado ana umri mdogo,
 
Inatia moyo sana unajua nilikua naadisiwa

Hali sio mbaya kwa sasa,Unai ameleta kitu kipya lazima tukubali angalau sasa ivi timu ina plan B na wachezaji wa uthubutu wa kupambana mpaka mwisho bila kujali matokeo yaliyopo.
Ingawa tuna tatizo kutokua na nidhamu ya mchezo mwanzoni mwa mchezo mara nyingi kipindi cha kwanza tunakua tupo kawaida ikitokea tutakutana na wahuni ambao watatuadhibu vibaya kipindi cha kwanza itakua shida ila tunarudi mchezoni kipindi cha pili.
 
Hodgson: "(Emery’s) brought back that energy & quality of play that Arsene also had for many years. 11 straight wins is an incredible record; we’ve got to try & do our level best that they don’t make it 12 because we need the points" #CRYARS


Palace hawataki kuwa wa 12
 
Ahead of Sunday's Premier League clash at Crystal Palace, here's the latest team news update from our medical team:


Nacho Monreal
Minor right hamstring. Being assessed ahead of Crystal Palace (a) on Sunday, October 28.

Sead Kolasinac
Minor right hamstring. Being assessed ahead of Crystal Palace (a) on Sunday, October 28.

Petr Cech
Now returned to full training following left hamstring injury from Watford (h).

Ainsley Maitland-Niles
Now returned to full training following a small fracture to left fibula in August.

Laurent Koscielny
Right Achilles tendon repair. Currently being integrated back into full training.

Dinos Mavropanos
Groin injury. Expected to return to full training in November.
 
HT 1-1, FT W 3-1 (West Ham, H)
HT 1-1. FT W 2-3(Cardiff, A)
HT 0-0. FT W 1-2 (Newcastle, A)
HT 0-0. FT W 2-0 (Everton, H)
HT 0-0. FT W 2-0 (Watford, H)
HT 1-1. FT W 1-5 (Fulham, A)
HT 1-1. FT W 3-1 (Leicester, H)
HT 0-0. FT W 0-1 (Sporting CP A)

Emery the 2nd half king
 
Back
Top Bottom