Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu Mimi Sijui Neymar anachocheza siku hizi..Tangu kombe la dunia anacheza kibinafsi sana, Anachelewesha mpira bila Sababu...Yaani kuliko kuwa na Neymar bora Matuid.
Kufundisha timu yenye Mastar ni ngumu sana,,,Ndio maana Unai saiz Ana enjoy tmu ina shine kwakuwa anachoelekeza ndo vijana wanafanya,,,hamna anayejiona yuko juu ya mwenzake,,,kila mmoja anakaza,,,Ozil ndo star lakn siku hz unamuona anarud nyuma anakaba fresh kusaidia tmu,,,,,ila naichek PSG hapo naona kabsa challenges alizokuwa anapitia Emery ila watu walikuwa hawazioni,,,waweza kuta alikuwa anawaelekez hv,,,kufika ndani Neymar anafanya anachojisikia halaf huwez mwambia unabaki unamuacha,,,maana PSG neymar ndo anawapotezea mda hawajui tu,,,

Piga Kazi Unai Kwa Vijana wenye nidhamu,,,View attachment 909925
 
Mkuu unamkumbuka mtoto wetu anaitwa Serge Gnabry mjerumani Yule...Tulifanya makosa sana kumuuza jumla...

Arsenal vijana wetu hatuwatunzi huyu Nelson anaonekana atakuja kuwa mzuri hamna sababu ya kumuuza.
Hoffenheim want to make their loan move for Reiss Nelson a permanent one. However, they have no option at the end of the loan to do so. Arsenal have also said they have no intention of selling Nelson. [BILD]
 
Arsenal wametua mjini Lisbon tayari kwa mechi na Sporting Lisbon.

Mabeki Nacho Monreal na Sead Kolasinac wameachwa London kutokana na kuwa majeruhi.

Hivyo beki Carl Jenkinson ameongozana na timu yake na huenda akacheza kwa mara ya kwanza tangu mwezi February 2016 kutokana na majeraha ya bega.

Hivyo Arsenal ikiwa na kikosi chake cha wachezaji 21 kipo tayari kupambana na Sporting ambayo pamoja na Arsenal wote wana point 6 wakiongoza kundi E.

Kesho jioni tukutane hapa kufuatilia maendeleo ya Arsenal kutoka Ureno.

Lisbon vs Arsenal

Uwanja: Estádio José Alvalade
 
Mkuu unamkumbuka mtoto wetu anaitwa Serge Gnabry mjerumani Yule...Tulifanya makosa sana kumuuza jumla...

Arsenal vijana wetu hatuwatunzi huyu Nelson anaonekana atakuja kuwa mzuri hamna sababu ya kumuuza.

Huyu mtoto jumamozi aliifungia magoli 2 timu yake ya mkopo ya Hoffenheim kwenye ushindi wao wa 3-1 dhidi ya Nuremberg.

Goli safi sana.
 
Kufundisha timu yenye Mastar ni ngumu sana,,,Ndio maana Unai saiz Ana enjoy tmu ina shine kwakuwa anachoelekeza ndo vijana wanafanya,,,hamna anayejiona yuko juu ya mwenzake,,,kila mmoja anakaza,,,Ozil ndo star lakn siku hz unamuona anarud nyuma anakaba fresh kusaidia tmu,,,,,ila naichek PSG hapo naona kabsa challenges alizokuwa anapitia Emery ila watu walikuwa hawazioni,,,waweza kuta alikuwa anawaelekez hv,,,kufika ndani Neymar anafanya anachojisikia halaf huwez mwambia unabaki unamuacha,,,maana PSG neymar ndo anawapotezea mda hawajui tu,,,

Piga Kazi Unai Kwa Vijana wenye nidhamu,,,View attachment 909925

Nimeshuhudia mazoezi ya Arsenal na kwa kweli siku za mwishomwisho za Arsene Wenger hakukuwa na ari yoyote ya kutafuta ushindi.

Yaani wachezaji walifanya mazoezi kwa mazoea na wakati mwingine wachezaji hao walikuwa wakichelewa kuingia mazoezini na hata wakiwa kwenye mazoezi walikuwa kila mtu akijifanyia mazoezi yake anavyofahamu yeye mwenyewe.

Unai Emery aliposaini tu mkataba akaanza kulishughulikia hili tatizo akaweka na gym kabisa (pitch-side gym) katikati ya uwanja na kuwa anakusanya data za kila mchezaji na namna anavvofanya mazoezi yaani performance index.

Moja ya matatizo makubwa ya wachezaji yalikuwa ni uzembe na watu kama Mesut Ozil alikuwa akionekana kabisa anafanya uzembe kiasi cha kulaumiwa na watu wengi.

Lakini kumbe kulikuwa na vitu kama vile uzito wa mwili na ujazo wa nyama mwilini ambapo Emery aliangalia na kuhakikisha vitu hivyo vinapunguzwa na matokeo yake sasa hivi Arsenal inacheza kwa kasi zaidi na wachezaji wengi wanaonekana ni wepesi kwenye kukimbia yaani "sprinting"

Arsenal imeonyesha mabadiliko lakini bado sehemu ya ulinzi ina tatizo kwani tunahitaji beki mshahara wa uhakika.
 
Mkuu unamkumbuka mtoto wetu anaitwa Serge Gnabry mjerumani Yule...Tulifanya makosa sana kumuuza jumla...

Arsenal vijana wetu hatuwatunzi huyu Nelson anaonekana atakuja kuwa mzuri hamna sababu ya kumuuza.
Namkumbuka, wenger alimuuza sijui why,

Huyu bodi imesema haimuuzi
 
Yan apo Auba alikuwa anajifanya yeye Unai sasa anatoa maelekezo kwa wachezaji?

?Inapendeza sana ndo maana wakina Ozli wanacheka balaa
IMG-20181025-WA0020.jpeg
 
Lucas Torreira is becoming a fan-favourite with the Arsenal faithful following his own chant ringing out at the Emirates.

The Uruguayan has settled quickly at the Emirates since his £26.4m move from Sampdoria.

And the 22-year-old has impressed his new supporters so much they have begun a new chant dedicated to him.

During the 3-1 victory over Leicester, Torreira's name could be heard ringing around the stadium.

With the same tune as the song previously dedicated to former Gunners skipper Patrick Vieira, fans paid tribute to their new midfield terrier.
FB_IMG_1540356697024.jpeg
 
Some of the quotes from our manager Unai Emery

1. I don't forcus on winning the trophy, I forcus on winning my next match.
2. I prefer wining 5:4 than winning 1:0
3. I don't need strikers in my team, I need goal scorers.
4. All teams are equal, I don't put forcus on particular teams.
5. Am not happy for winning 9 game in a row, am happy coz our team is improving.
6. Am not an Arsenal couch, am an Arsenal fan. As a fan I want to see my team win.
7. It's not the best formation that wins matches, it's the players aggressiveness and hard work.
8. Drawing is the same as loosing, all I prefer is a Win.
9. I don't have a permanent starting XI, all our players are starting materials.
10. I feel at home with Arsenal

*Which is the best quote from our Manager Unai Emery?*
FB_IMG_7016506660752586940.jpeg
 
Some of the quotes from our manager Unai Emery

1. I don't forcus on winning the trophy, I forcus on winning my next match.
2. I prefer wining 5:4 than winning 1:0
3. I don't need strikers in my team, I need goal scorers.
4. All teams are equal, I don't put forcus on particular teams.
5. Am not happy for winning 9 game in a row, am happy coz our team is improving.
6. Am not an Arsenal couch, am an Arsenal fan. As a fan I want to see my team win.
7. It's not the best formation that wins matches, it's the players aggressiveness and hard work.
8. Drawing is the same as loosing, all I prefer is a Win.
9. I don't have a permanent starting XI, all our players are starting materials.
10. I feel at home with Arsenal

*Which is the best quote from our Manager Unai Emery?*View attachment 910190
"I don't focus on winning the trophy,i focus on winning my next match."
 
SPORTING LISBON vs ARSENAL
UEFA EUROPA LEAGUE Match day 3
25/10/2018 @ 19:55 East African TIME .

Ni mchezo unaozikutanisha Sporting Lisbon ya Ureno na Arsenal ya England.

Sporting Lisbon ni moja ya team nnazo ziheshim sana kwa kuwa na wachezaji wenye talents za kweli ndani ya kikosi chao, zinacheza soka zuri na si team za kukaa uwani zikapack bus, zinajuwa kutafuta wachezaji na zilikuwa na Mwalim mzuri sana yule Mzee Ma'mvi, lakini kwa kipindi hiki cha karibuni wamepatwa na matatizo makubwa ya kukumbwa na ugomvi na fujo baina ya wachezaji na mashabiki ambao ugomvi huo unasemwa kuwa ulikuwepo mda mrefu lakini ulichomoza zaidi baada ya matokeo ya team hiyo kwenye mashindano haya haya ya Europa dhidi ya Atletico Madrid msimu ulioisha. Walikuwa na kikosi kizuri kilichokuwa na wachezaji wanaojifaham wa kireno na wengine wa Kilatin na hii ndio sera ya team yao kutafuta tafuta wachezaji bara la America na kuchanganya na wazawa, pia walikuwa na kocha mzee flani hivi mi hupenda kumuita mzee Ma'mvi ambae alikaa na team kwa kipindi kirefu na yeye binafsi yule mzee ni mwalim mzuri mno wa kufundisha soka safi la kushambulia haeki team uwani, anashambulia mwanzo mwisho,na anasera za kumikili mpira.

Lakini kwa mda huu team yao yote imevurugika na wachezaji wengi karibia ya wote kuuzwa baada ya huo mpasuko baina ya wachezaji na shutuma kutoka kwa mashabiki zilizozaa vurugu na fujo, na Kocha pia wametafuta mpya yule mzee nae pia kaondoshwa,, Ugomvi ulikuwa mkubwa na team nyingi sana za Ulaya zikanyan'ganyiana wachezaji wa bure, hata arsenal mara moja ikaripotiwa wanamtaka Winger mmoja wa Sporting mwenye rasta hivi, lakini deal naona haikuendelea, haikuwa na maana waliwatowa bure bali pesa ya kuwanunuwa ilikuwa ndogo kulingana na vurugu zilizomo ndani ya team, kwani Raisi wa team alisapoti kwa %100 wanacho complain mashabiki Na yeye alikuwa nao bega kwa bega ndio sababu ya wachezaji kuuzwa bei ya kutupa.

Kwa sasa form yao sio nzuri wanachezea vipigo na wamebadilisha team kariba ya yote na bahati imezidi kuwa mbaya kwao kwani leo wanaenda kucheza na team iliyokuwa imetulia,ina spirit kubwa,inashambulia kama nyuki,ina kocha anaejifaham na kubadilika kimifumo kulingana na adui yake alivo, team iliyokuwa kwenye run nzuri ya ushindi baada ya kushinda michezo 10 mfululizo kwenye mashindano yake yote, iko hot na ...

Watajikaza sana kwakuwa wanamengi wanadaiwa na mashabiki wao, pia wapo uwanja wa nyumbani.,ila bahati mbaya sana kwao bado kichapo hakitawakimbia watakufa 3 ila sjajuwa kwa ngapi..

#ComeOnArsenal
 
Wajuvi, hii mechi utaonyeshwa kwenye channel gani Dstv?
 
Back
Top Bottom