McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Auba OUT
Iwobi IN
Mwalimu hizi sub utatuua kwa presha uki vibanda umiza.
Iwobi IN
Mwalimu hizi sub utatuua kwa presha uki vibanda umiza.
Kuna katabia wale wachezaji under AW wanako, kanaudhi mno, kanakera mpaka washindwa kumeza mate, wanapoondoka tu Arsenal, ghafla wako serious na kucheza mpira wa maana, wa kujituma, tunamshuhudia Theo Walcott leo!
mother***kers, ndorobo kabisa hao..
That means winning mentality, kuna haja gani kucheza vizuri afu tufungwe?Arsenal are winning games when playing badly. Top teams find a way to win even when playing badly.
Mesut Ozil haonyeshi kucheza kwa bidi kabisa sifahamu amekumbwa na nini!
Nadhani siku si nyingi Unai Emery atakuwa akimweka bench.
That means winning mentality, kuna haja gani kucheza vizuri afu tufungwe?
Sure,Arsenal ya Wenger baada ya kuwa mbele kwa goli mbili Everton wangafnya jitihada magoli yarudi.
View attachment 875646

First clean sheet.