jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,814
- 7,589
Kabisa..Nakumbuka kipindi Unai anaanza kazi pale emirates alidai timu yake itajengwa kumzunguka Ramsey.
Ila sijui imekuaje,Ramsey amedrop sana kiuchezaji.
Kabisa..Nakumbuka kipindi Unai anaanza kazi pale emirates alidai timu yake itajengwa kumzunguka Ramsey.
Ila sijui imekuaje,Ramsey amedrop sana kiuchezaji.
Tunatoka, tukaze buti tu, jamaa wanajifanya "Kiboko Msheli" ila tukiwa vizuri nyuma hasa na midfield poa fresh mbona, mbele sina wasiwasi..Tutatoka kwa Watford kweli leo, vijana wako vizuri balaa.
Game ngumu mkuu.Tunatoka, tukaze buti tu, jamaa wanajifanya "Kiboko Msheli" ila tukiwa vizuri nyuma hasa na midfield poa fresh mbona, mbele sina wasiwasi..
Troy Deeney hana lolote, anafikiri mpira mabavu, unakumbuka alivyotusema?!
Troy Deeney: Arsenal lack the cojones to compete with Watford via YouTube
Majirani manure wamechezea kwa WHU, tukaze leo tuwaache kabisa. Tough game natabiri.Wana Gunners kiaje?
Leo tena mtanange mwingine uwanjani kwetu Emirates.
Tukishinda mechi ya leo tunaweza kushika nafasi ya 4
Team News kufuata soon.
Wakuu habari yenu hapa