Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ngumu ingawa imekosa muunganiko labda pressure ya big match.
Goli tulilofungwa ni makosa ya defence yetu ambayo kama hawata jirekebisha tutafungwa goli lingine.
 
Hahaha niko na mshabiki uchwara wa man city hapa pembeni hajui hata aguero anatokea taifa gani. alafu anasema anaipenda man city tangu zamani
 
stunning goal by bernado silve makes the score board 2:0
 
Kuna ID humu siielewi kama Wenger vile anavyofurahia yanayotokea huko London
 
Hahaha niko na mshabiki uchwara wa man city hapa pembeni hajui hata aguero anatokea taifa gani. alafu anasema anaipenda man city tangu zamani
Bora huyo uchwara anafurahia kuliko mashabiki boko haram hawasikii pamoja na mahangaiko ya kujificha.
 
naona wamekimbia uzi wao

Hii timu ni kigenge cha wapagazi tu.

Nina uhakika wewe ni mgeni kwenye huu uzi,mashabiki wa Arsenal hawana hicho ambacho unadhani utakipata unaweza ukajikuta unatania na kurusha vijembe wiki nzima watu kimya kuna threads za kushambuliana na kutukanana.
Pole chief hapa utaona updates tu bila kujali matokeo alafu watu wanapotea zao mpaka siku ya game.
 
FT
Arsenal 0-2 City
Congrat'z City mmecheza game nzuri naamini Unai kaonyeshwa udhaifu wa Arsenal sehemu ambazo alidhani amemaliza kutengeneza.
 
Back
Top Bottom