Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Leo niko upande wenu koz wote tunatoka London ..ila next wikend utanisamehe lazima nikupige tu. Maana hakuna namna.
Leo tuko pamoja gemu itaisha 2-I ..Unai atashinda
Unataka Arsenal Ashinde ili Man City apunguziwe Points ikisha Chelsea awe bingwa?
Wacha Kujipa Tamaa za Uongo Mkuu Huna Timu Ya Kuchukua Ubingwa Mbele Ya Man City.
