Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumepoteza mechi ya kwanza dhidi ya Manchester city, tumecheza lakini bahati haikuwa yetu. Huu ni mwanzo, bado tuna mechi nyingi mbeleni hivyo tunayo nafasi ya kubadilika na kupata matokeo.
Let's be patient, we still have time.💪💪
 
Tumepoteza mechi ya kwanza dhidi ya Manchester city, tumecheza lakini bahati haikuwa yetu. Huu ni mwanzo, bado tuna mechi nyingi mbeleni hivyo tunayo nafasi ya kubadilika na kupata matokeo.
Let's be patient, we still have time.
Pole sana
 
Wewe pre season ulicheza vizuri sana ...uko nyumbani unashindwa kumfunga man city?
Uyo manywele wenu Mara kumi ata na fellain wa man u..

Kwa mpira wenu wa kizembe ivyo jumamosi nakupiga tatu kavu.

Nilikuwa na nyie leo ila mmezingua sana.
 
Wewe pre season ulicheza vizuri sana ...uko nyumbani unashindwa kumfunga man city?
Uyo manywele wenu Mara kumi ata na fellain wa man u..

Kwa mpira wenu wa kizembe ivyo jumamosi nakupiga tatu kavu.

Nilikuwa na nyie leo ila mmezingua sana.
Kwa mpira aliocheza arsenal na post uliyotoa utakuwa kipofu yule dogo kacheza mpira mkubwa sna kwa umri wake wa miaka 19 ujiangalie wengi kumbe si watu wa soka mmekalia unazi ujipange sana kwa arsenal usichukulie poa
 
Naamini tumecheza vizuri chini ya kocha Mpya...... Labda kwa vile mechi ya kwanza tumekutana na timu kubwa ndo imekuwa tatizo
 
Arsenal itabidi atafute dawa Ya Kuifunga Man City manake ishakuwa Too Much tena! Lakini Musijali Tutawalipia manake Karibuni Ninaye Huyo dogo City.
 
Kwa mpira aliocheza arsenal na post uliyotoa utakuwa kipofu yule dogo kacheza mpira mkubwa sna kwa umri wake wa miaka 19 ujiangalie wengi kumbe si watu wa soka mmekalia unazi ujipange sana kwa arsenal usichukulie poa
...arsenal hii ya emery unai itafanya vibaya zaid kuliko ile ya wenger.
 
Waandishi Wengine Wahuni kweli 😀😀
Eti "New manager, new players, same outcome for Arsenal"
 
39064424_2194531507450843_4885588645672648704_n.jpg
 
LEO MSALABA WA JUMUIA ULIKUWA HAPA. TUENDELEE KUSUBIRI WKEND ZIJAZO
Hii timu ni nzuri huwezi kulalamika wakati hata combination ni ya muda mfupi sana.Nina imani next week tutasajili ushindi. Ila wachezaji waongeze umakini hasa foward. Abu na Lacazate wamekosa magoli sana.
 
Back
Top Bottom