Acha kubishana na huyo mwehu si shabiki wa Arsenal kwann upoteze muda naye.
Maumivu wanayo kwa kuwa arsenal ikipata kocha mwingine wataumia.Pamoja na uzembe wa wenger bado wameshindwa kumtoa top four within 20 yrs.Tofauti na arsenal hakuna timu iliyodumu top Four 20 yrs hii ni ishara ya ubora wa timu.
Matatizo yaliyopo arsenal ni madogo sana ukilinganisha na yaliyopo man,chesii na liver.
Timu bora yenye mashabiki wa muda mrefu wasioyumba ni arsenal hata hao wanaoponda timu ikikaa sawa watarudi.
Mashabiki wote wa chelsea,man city,totenham ni wahamiaji haramu maana hizo timu zimejulikana miaka michache tu karibuni na zinaweza poteana tena kutegemeana na mmiliki.
Newcastle ni timu maarufu ulaya kuliko chelsea na mancity lakini imepoteana kwa sasa na ndiyo kitakachozikuta hizo.
Timu za muda wote ni arsenal,liver na man tu.Msitutishe kwa mja leo muondoka kesho.Vivaaaaa arsenal!!!!!!.Naipenda timu yangu 26 ya ndoa na arsenal siiachi kamwe.