️Dah habari mbaya sana hii. Nilitaka babu akae maisha hapo Emirates!Wenger out J2. New Era to commence Monday
Haya mkuu, cheka tu watu...Dah habari mbaya sana hii. Nilitaka babu akae maisha hapo Emirates!
Mnapotakiwa NAMBA NNE...Mtarudi tu hapahitaji juhudi kubwa sana kama kuwa Bingwa.Haya mkuu, cheka tu watu...
Ila tutarudi tunapotakiwa msimu ujao...
🙁🙁🙁😳😱😵Mnapotakiwa NAMBA NNE...Mtarudi tu hapahitaji juhudi kubwa sana kama kuwa Bingwa.
Siyo mbaya kwa mchezaji wa Kiingereza, ila huwezi mfananisha na kina Santi Carzolla..At least anajitahidi kuliko Ozil..Arsenal imempatia kiungo wa kati Jack Wilshere, 26, mkataba mpya wa miaka mitatu ikiwemo kuongeza mkataba huo kwa miezi 12 na hivyobasi kumzuia mchezaji huyo katika uwanja wa Emirates hadi 2022. (Mirror)View attachment 772373