Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

There's only one Arsene Wenger
IMG_5728.JPG

Merci Arsene
IMG_5788.JPG
 
ARSENAL, WE ARE ALWAYS BRILLINT WHEN THE DOES'N MATTER, WHEN IT MATTERS, WE ALWAYS FLOP!!
GOOD SEND OFF FOR WENGER, LAST HOME GAME!!
 
Samahani Wakuu! Hili Jina Konstantinos Mavropanos Sio Familiar Sana na Mimi! Hivi Jina hili Ni Mzaliwa Wa Taifa la Greece?
barafuyamoto
Dogo mgiriki, hii ndio senior match yake ya pili, ya kwanza dhidi ya Manutd, licha ya kwamba Arsenal tulifungwa ila dogo alikula sahani moja na Lukaku bila kupaniki.
 
Wenger kaagwa kwa heshima kubwa sana leo.Sikutegemea kama wangefanyiwa sherehe kubwa kiasi kile yeye na mwanaye.
Kweli wazungu wametuzidi mengi.
 
Manchester City wameanza mazungumzo upya ya kujaribu kumnasa winga wa Leicester City, Riyad Mahrez ambaye huenda akaondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

Pia Manchester United wako tayari kumwachia Anthony Martial kwenda Borussia Dortmund kama chambo ya kumnasa Christian Pulisic.

Hata hivyo winga huyo anayetajwa kuwa na thamani ya £40m anatolewa macho pia na vigogo wengine kama Liverpool, Chelsea na Arsenal.
 
Back
Top Bottom