Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo Arsenal tutapigwa mengi. Natarajia Man Utd 11-0 Arsenal.... Wenger Out...
Man ipi hii hii inayogongwa na westbrom.Man hataifunga arsenal labda sare.Magoli ya mvua siyaoni.Ina sharp foward lakn pia haina beki arsenal nao wana foward nzuri lakin beki haijatulia.
 
Man ipi hii hii inayogongwa na westbrom.Man hataifunga arsenal labda sare.Magoli ya mvua siyaoni.Ina sharp foward lakn pia haina beki arsenal nao wana foward nzuri lakin beki haijatulia.
Man utd kafungwa 27 goals, Arsenal kafungwa 48 goals. Kabla ya mechi hii utd na city walikuwa sawa as best defense 26=26.
Hata Arsenal kafungwa una la kuongeza.
 
Wenger amebakisha sehemu moja tu amalize kwa salute yangu ya mwisho au middle class finger
 
Mwambieni babu akawapange hawa watoto kule Spain maanake wakubwa wao walifungwa 3-1 nyumbani wakati watoto wamefungwa 2-1 kwa mbiiiindee!

Mtani nakumbuka niliwahi kule kwenye jukwaa lenu kua hatuna timu za kueleweka sana ila zina mashabiki wenye kiu na mafanikio tu leo ni murndelezo wa kile ambacho kilianza na msimu ujao kitaendelea.
Frankly speaking wale watoto wameniaibisha maana toka mwanzo sikuwaza wangefanya angalau hiki walichofanya.
 
Back
Top Bottom