radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Mech ya kwanza walishashinda wale waliingia kutafuta droo costa na greizman wamekosa goli nyingi sana za wazMbona kapigwa Jana pamoja na hao striker wa kidunia baba, mpira unadunda etii
Mech ya kwanza walishashinda wale waliingia kutafuta droo costa na greizman wamekosa goli nyingi sana za wazMbona kapigwa Jana pamoja na hao striker wa kidunia baba, mpira unadunda etii
Ila kipa hamna safar hii yule jamaa kawaje sijui kama arsenal angetolewa lawama angebebaNa sisi tutaingia na mentality ya WIN ili tupambane vizuri, hakuna aliyeingia hatua hiyo kwa ngekewa kila mmoja kapambana
Hata sisi game ya kwanza tulishinda tena nyingi 4 wao mbili tu, wamefungwa tumedrooMech ya kwanza walishashinda wale waliingia kutafuta droo costa na greizman wamekosa goli nyingi sana za waz
Ndio maana yakeArsenal tuna kimbiza mwizi kimya mpaka tunyanyue ndoo, moja kwa moja msimu ujao UEFA...,
Madogo wangeendelea kuagiza ya mbali baba jeni baibai ilikuwa karibu inanukiaHata sisi game ya kwanza tulishinda tena nyingi 4 wao mbili tu, wamefungwa tumedroo
Ananiwazisha sana yule boda boda kawa mdebwedo sana safari hiiIla kipa hamna safar hii yule jamaa kawaje sijui kama arsenal angetolewa lawama angebeba
Goli zote mbili za hovyo sana atasijui kawaje daaAnaniwazisha sana yule boda boda kawa mdebwedo sana safari hii
Xhaka atakuwepo, ila Mikh sina uhakika angekuwepo ATM mapemaGoli zote mbili za hovyo sana atasijui kawaje daa
Napenda sana awepo xhaka na mkhi huyo mhki katupa tafu sana ktk kombe hiloXhaka atakuwepo, ila Mikh sina uhakika angekuwepo ATM mapema
Uhakika wa Mikh kuwepo ni Mdogo aiseeNapenda sana awepo xhaka na mkhi huyo mhki katupa tafu sana ktk kombe hilo
Jirani huna timu ya kueleweka kwa sasa,najiamini nikikaza unakula za kutosha tuHata ukikaza unafikir utatoka?
Hakuna kitu mkuu wale wanafungika vizuri tu,Mkuu usivutie ngoz kwako atletico anakikos kipana sio kama chako ana striker wa 3 level ya kidunia timu yoyote wanaingia mech ya jana waliingia na mentality ya droo wale
Mbona hiyo droo waliikosa?????Mech ya kwanza walishashinda wale waliingia kutafuta droo costa na greizman wamekosa goli nyingi sana za waz
Ulishindwa vipi nyumban kwako?Jirani huna timu ya kueleweka kwa sasa,najiamini nikikaza unakula za kutosha tu
Ukiacha uzembe wa cech jana hata covering ilikuwa poor sana hasa kwa beki.All goals could be saved by either goalkeeper or defenders as it was died balls.
Ukweli alikuwa under perfomance yake.Hata viungo walikuwa ovyoOspina apone mapema aiseeee,uyu Cech naona kabisa atatuletea balaa kama la jana maana goli zote aliamua kutuchimbia kaburi.
Usidanganye yaani Atl jana katokea tundu la sindano bora hata aseno walifunguka wakasawazisha.Wale madogo uzoefu tu ndo uliwakosa na kushindwa kutumia nafasi walizopata.Sijaona alichofanya grizman wala costa.Mpira kweli unadunda nimeamini.Mkuu usivutie ngoz kwako atletico anakikos kipana sio kama chako ana striker wa 3 level ya kidunia timu yoyote wanaingia mech ya jana waliingia na mentality ya droo wale