radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Basi sawa arsenal kweli mwamba lazima ndoo abebe anashambulia sanaUsidanganye yaani Atl jana katokea tundu la sindano bora hata aseno walifunguka wakasawazisha.Wale madogo uzoefu tu ndo uliwakosa na kushindwa kutumia nafasi walizopata.Sijaona alichofanya grizman wala costa.Mpira kweli unadunda nimeamini.

