Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Wanapigika tu hata wao Jana wameponea chupichupiWanafungika hawa kilaiiini.
Wanapigika tu hata wao Jana wameponea chupichupiWanafungika hawa kilaiiini.
Kwa manure hatukazi sana maana hatuna cha kupotezaDuh tarehe 29th vs Manchester United kisha tarehe 03/05/2018 vs Atletico Madrid kazi ipo
Tena inapendeza tukienda kama underdogs, presha hamna!Wanapigika tu hata wao Jana wameponea chupichupi
Hata ukikaza unafikir utatoka?Kwa manure hatukazi sana maana hatuna cha kupoteza
Katika kipind ambacho wachezaji wanatakiwa kuonyesha kujituma kwao ni kipindi hiki waonyeshe kuwa kombe wanalitakabora atm nusu fainali tutakua na mechi mbili
either tujiulize au kuna mahali tukazie
[HASHTAG]#coyg[/HASHTAG]
Hahaha jamanWanafungika hawa kilaiiini.
Acha hizo kwa wananini hao ATM mpaka tushindwe kuwakung'uta tena wanaanzia kwetu tunawachabanga vizuri tu goli tatu itapendeza zaidiHata ukikaza unafikir utatoka?
Atletico mnaweza kumdunda ila sio man united ndo mana nakwambia hata ukikaza utabamizwa tuAcha hizo kwa wananini hao ATM mpaka tushindwe kuwakung'uta tena wanaanzia kwetu tunawachabanga vizuri tu goli tatu itapendeza zaidi
Walaini tu hao nashangaa wanaotubeza, tusijichukulie poa kufika hatua hiyo kuna wengi wamekula kichapo kwetu eboo!!Tena inapendeza tukienda kama underdogs, presha hamna!
Man wana nini cha mnoAtletico mnaweza kumdunda ila sio man united ndo mana nakwambia hata ukikaza utabamizwa tu
Au kumpiga Man city ndo mnaona mna kikosi bora? Mngechukua kombe basiAtletico mnaweza kumdunda ila sio man united ndo mana nakwambia hata ukikaza utabamizwa tu
Sipendi makombe yote yaende spain nataka moja libak england uefa au ueropa kazeni bana ila hamna timu ya spain hata moja itatoka kapa tia akilinKatika kipind ambacho wachezaji wanatakiwa kuonyesha kujituma kwao ni kipindi hiki waonyeshe kuwa kombe wanalitaka
Chelsea,liverpool,spurs,man city arsenal mech ya nyumban kwakoAu kumpiga Man city ndo mnaona mna kikosi bora? Mngechukua kombe basi
ATM itatoka kapa huko UEFA wapambane na hali yaoSipendi makombe yote yaende spain nataka moja libak englend uefa au ueropa kazeni bana ila hamna timu ya spain hata moja itatoka kapa tia akilin
Lingine ni kwamba hata nikikufunga kwangu haibadilishi chochote au kwako acha nipambane na hii ndoo inayonukia hapaChelsea,liverpool,spurs,man city arsenal mech ya nyumban kwako
Unalingine mjomba?
Mkuu usivutie ngoz kwako atletico anakikos kipana sio kama chako ana striker wa 3 level ya kidunia timu yoyote wanaingia mech ya jana waliingia na mentality ya droo waleATM itatoka kapa huko UEFA wapambane na hali yao
Mbona kapigwa Jana pamoja na hao striker wa kidunia baba, mpira unadunda etiiMkuu usivutie ngoz kwako atletico anakikos kipana sio kama chako ana striker wa 3 level ya kidunia timu yoyote wanaingia mech ya jana waliingia na mentality ya droo wale
Na sisi tutaingia na mentality ya WIN ili tupambane vizuri, hakuna aliyeingia hatua hiyo kwa ngekewa kila mmoja kapambanaMkuu usivutie ngoz kwako atletico anakikos kipana sio kama chako ana striker wa 3 level ya kidunia timu yoyote wanaingia mech ya jana waliingia na mentality ya droo wale
Yap hii ndo point ya msingi hata mzee wenger nimeona mkazo wake upo huko mana timu ngumu ni atletico tu mkipita kigingi hiki mnapepea kizur mnaanzia hom tia nyingi kule mnapumua kama zile za cska moscowLingine ni kwamba hata nikikufunga kwangu haibadilishi chochote au kwako acha nipambane na hii ndoo inayonukia hapa