Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

4ef74b418767f5f6203637ef6b7daf8d.jpg


Hii timu haina beki wala kiungo wala kipa wala mshambuliaji..... On target 7 kwa 0?????
 
Hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza AW ila kama unavyosema inabidi babu ajitathimini tu yeye mwenyewe.
Nini kimmewatokea Arsenal? Kuchukua ubingwa tunajua hawawezi lakini kufungwafungwa kirahisi hivi sio Arsenal hii.
 
Bora na leo tuchapwe ili akili imkae vizuri yule mzee sijui ni mwenye timu au nani.... Afikirie kumtimua Wenger [HASHTAG]#Wenger[/HASHTAG] is tired!
 
HT
HBA 2-1 Arsenal
Tusubiri kipindi cha pili kama tukicheza kwa kasi ya dakika 10 za mwisho tunaweza kupata angalau point 1 mambo mengine itakua miujiza.
 
Nini kimmewatokea Arsenal? Kuchukua ubingwa tunajua hawawezi lakini kufungwafungwa kirahisi hivi sio Arsenal hii.

Siku zote ukifungwa kuna ile kupotea morale ni ngumu pia ku-gain ila fighting spirit na sio kwamba wachezaji hawataki matokeo chanya ila hawana namna ukiangalia wanapambana ila ndio kama unavyoona,Arsenal inapitia kipindi kigumu kuliko wakati wote katika miaka ya karibuni.
 
FT
HBA 2-1 Arsenal
Baada ya miaka 35 HBA wanatupiga tena hakika huu ni msimu wetu wa ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom