Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Matokeo mazuri sana haya timu iendelee kupoteza mpaka Wenger aingie mitini ndo ntarudi kuwa mdau wa Arsenal
 
Shukrani Mkuu, timu ina pesa chungu nzima lakini ubahili ndiyo ubahili wale wapuuzi wa Kimarekani hawajui chochote kuhusu football wao wameweka pesa mbele na kudharau kabisa kuhusu performance ya timu.
Matajiri zenu sio watu wa mpira na ubakhiri wa babu yenu kama anatoa zake za mfukoni huo muunganiko ndio unawatesa. Mtabaki kumpa sifa alijenga uwanja wa emirates basi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tetesi

Aliyekuwa rais wa Barcelona Joan Laporta asema Arsenal yafaa kumteua Thierry Henry kama meneja wao (Telegraph - subscription required)

Mkuu wa Hoffenheim Julian Nagelsmann ni jina lingine liliotajwa kuchukua nafasi ya Wenger. (Mail)
 
Our starting XI
0aa037ed71cf72b15a2f7977eeedc2d9.jpg
 
MGT YA ARSENAL INAFANYA UJINGA SANA KUMLEA HUYU WENGER, LAKINI UJINGA ZAIDI NI KUKUTA BADO KUNA WATU WANAISHABIKIA
 
Mkuu Arsenal ninawajua leo wanashinda 3-0. Mechi ijayo wanashinda 2-0 baada ya hapo washabiki wa Arsenal katika ubora wao wanasahau lawama zote wanazompa AW.

Ushapotea mkuu maana wadogo wameshatupiga 1 mpaka sasa,alafu umesahau kua clean sheet kwetu ni mtihani siku hizi
 
2-0 Nadhani leo Wenger ata-resign. Sio kwa udhalilishaji huu
 
Back
Top Bottom