DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Kwani una kikosi kibovu?Hivi mmeona wanaume tunavyo cheza.? Hata kama una kikosi kibovu isiwe sababu mtu kukunyanyasa. Tumia ulichonacho vizuri kitakufaidisha. Siyo mnakaa kaa kizembe.
Sema one day na nyie mtakua kama sisi. Hiyo stage na sisi tulipitia. Ila muwe mnakuja kuangalia kaka zenu tunafanya nini. Msikae kizembezembe tu.![]()
![]()
![]()
Mje weekend muone tutakacho mfanya Man U kwake.
️