zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,766
- 36,315
Uliongelea Kwenye hyo post kwamba kikosi cha milan chenye gattuso na maldini eti arsenal ingepigwa 5 .... Ssa kwani hyo mechi tuliowatungua milan bao mbili kina gattuso na pirlo hawakuwepo?? Ambrosini na seedorf na nesta maldini wote ndani ila ''watoto'' kina fabregas na hleb waliwafundisha hao wazee mpiraKabla Ya Kukurupuka Kureply Ungeliangalia Kwanza Hiyo Post niliyoiquote ilikuwa inazungumzia Nini mpaka nikafikia Kureply hivyo.
Kwa AC Milan hiyo Arsenal angerowa 5