Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,837
Kwakweli pressure hatari na hizi tetesiSioni kama kuna uwezekano hii deal imekufa kifo cha kawaida,leo tena AW amesema wako interested kumleta Auba ila akasema "We're far from being close" na amekubali kua Dortmund wanajua kua Arsenal wana pressure ya kumsajili Auba ukichagizwa na kelele za mashabiki ndio maana wanakomaa ili wavune sarafu nyingi sidhani kama Arsenal watatoa £ 70+
Jonny Evans naona tumepeleka £20 m + Debuchy hii deal inaweza kufanyika,duh i HATE transfer window aiseeee maana kila time unachungulia nini kinaendelea![]()

