shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
1-1Tushawekwa huko
1-1Tushawekwa huko
http://www.sport365.live/en/player/...036/5a68e93c578fc/ArsenalFC-ChelseaFC/768/432Naombeni Link ya game yenu

Mkianza hivyo babu yenu nae anabweteka kazeni buti huyo sanchez kesha kwenda.Tunawaomba radhi ndugu wasomaji ile article yetu ya "Life after Sanches" haitotoka kama ilivyotarajiwa....![]()
Tunamtakia kila la heri huko alikokwenda. He is not the first and essentially will not be the last to leave Gooners.Mkianza hivyo babu yenu nae anabweteka kazeni buti huyo sanchez kesha kwenda.
Kweli chelsea ni mteja wa arsenal wenger angekuwa anazingatia suala la usajili angekuwa anamfumua kila uchwao tena goli nyingi.Our starting XI
![]()


Mkianza hivyo babu yenu nae anabweteka kazeni buti huyo sanchez kesha kwenda.
Hivi ni mchezaji gani aliyewahi ondoka Arsenal akawa na mafanikio makubwa ya vikombe zaidi ya mshahara wa six figures???Iko wazi wanasubiri Arsenal achezee vichapo waanze kuandika kua Sanchez alikua kila kitu wanatamani sana tupigwe wanaumia kua tumeshinda mechi mbili mfululizo tena style (Palace kala 4) na tumeshinda London Derby.
Fabregas kawazidi kila kitu.Hivi ni mchezaji gani aliyewahi ondoka Arsenal akawa na mafanikio makubwa ya vikombe zaidi ya mshahara wa six figures???
mmmmh wakati roho zinawauma.Gunners without Sanchez nahesabu game ya pili tunauwa mtu