Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

dah....morinho na wewe ni nan mwenye frustuation ?
poleni sana arsenal, inaonesha ni jinsi gani imekuuma.
tuliza mshono babu vitu viingie, ngoja mtamsoma kama ni garasa ama sivyo.....

gracias alexis
 
dah....morinho na wewe ni nan mwenye frustuation ?
poleni sana arsenal, inaonesha ni jinsi gani imekuuma.
tuliza mshono babu vitu viingie, ngoja mtamsoma kama ni garasa ama sivyo.....

gracias alexis
we na arsenal MNA tofauti gani!?..kombe ambalo utachukua labda fa..mbali na hapo ni bure tu
 
Vigeugeu wale yaani tukipanda na wao wanapanda,alafu bado wanamtaka na OG katika hilo dili aende kwao kwa mkopo mpaka mwishoni wa msimu pumbavu sana hao jamaa

Sasa ivi deal imekua 'straight cash' ishu ya OG12 haipo tena nasikia na vile AW ana mahaba na OG12 nilihisi itakua ngumu kumuachia ila bado sina imani kama wataweza kumleta Auba kwa nature ya timu yetu.
 
70? Na wenyewe waache wehu yaani toka 60 mpaka 70 angalau kwa 60 tulikuwa tunawasogelea

↑↑ Jamaa wanaangalia mahitaji Yenu! Kadri Munavyomuekea Priority! Basi na wanao Wanamuongeza Bei Kwani Wanaamini Wakati Munamtaka Mutazitoa! Sawa na Mulivyofanywa Kwa Thomas Lemar.


Vigeugeu wale yaani tukipanda na wao wanapanda,alafu bado wanamtaka na OG katika hilo dili aende kwao kwa mkopo mpaka mwishoni wa msimu pumbavu sana hao jamaa

↑↑ Mkuu Ndiyo Soko lilivyo kwa sasa! Wachezaji Wanaongezwa Being Mithili ya Mnadani.

Ubahili ndio kikwazo ndugu yangu,Arsenal wamegoma kufika 70 ambayo Dortmund wanataitaka tumekomaa na 58 mbaya zaidi Wenger kasema timu iko sawa bila uyo Auba.
Tuombe walegeze mioyo maana Auba amewatibua Dortmund kwa utovu wa nidhamu anaamini tunamsajili tukiendeleza wehu wetu tunaweza kumkosa kibwege tu.

↑↑ Hiyo Kauli Ya Wenger Kusema Timu ipo sawa bila ta Auba Ndiyo Njia Pekee Ya Kuwafanya Dortmund Wapunguze Bei...
Kwani kitendo cha Kumuengeza bei Ni Kuwa Wanaangalia Mahitaji ya Wenger! Lakini Wenger akijifanya hana umuhimu nae Basi Na Wao Wataogopa Kumpoteza bure kwahiyo Watamuuza Chini Ya Bei.
 
Nimekuwa mfuatiliaji kwa muda mrefu wa ligi pendwa ya uingereza na naomba nitangaze kabisa mimi ni shabiki lialia damudamu wa Manchester united ila kama mwanamichezo na mpenda soka Leo nakiri kuwa hata mashabiki wa Arsenal watakiri kuwa katika historia ya team ya vikosi vya team yao haitakuja kutokea kikosi bora kama hiki:-
David seaman, winterburn, Emmanuel petit,martin keown, patrick ljumberg,martin Dickson,Patrick Vieira ,Nicolas anelka,Denis bergkamp,ray parlour na Bonge la kapteni mwenyew Tony Adams hiki kikosi kilikuwa balaa nadhan hat Wenger huwa akilala anaota
 
The invisible
Legendary iceman-Denis Bergkamp
Huyo mjamaa alikuwa anajua aisee
 
Wenger OUT, Trump IN.

IMG_20180126_205556.jpg
 
Kuna uwezekano kwamba Arsenal na Alexis Sanchez wakafunguliwa mashtaka na FA baada ya Sanchez kukosa vipimo vya kama anatumia madawa ya kulevya vilivyo fanyika siku aliyojiunga na Man United.

Kutokana na taarifa walizotoa The Sun ni kwamba kwa sasa Shirika la Kupinga utumiaji wa dawa za kulevya la Uingereza linachunguza madai ya Arsenal ya kushindwa kuwaambia FA kuwa mchezaji huyo hakuwepo mazoezini siku ya Jumatatu.

Shirika hilo la FA walienda katika uwanja wa mazoezi wa Arsenal na Sanchez alikuwa katika orodha ya majina ya wachezaji ambao wanatakiwa kufanyiwa vipimo.
Lakini Arsenal wao wanatakiwa kuwajulisha FA juu ya mabadiliko yoyote kwenye ratiba zao za mazoezi kila siku inasemekana kuwa walipuuza kutokuwepo kwa Sanchez katika siku hiyo.

Sanchez hatozuiwa kucheza mechi yake ya kwanza Manchester United dhidi ya Yeovil katika Kombe la FA usiku wa leo. Arsenal watakumbwa na mashtaka kama FA hawatokubali maelezo yao kwa
 
Jamani mchakato wa Auba unaendaje huko uhakika wa kumchukua upo au tuachane na ndoto za mchana maana Wenger anajijua mwenyewe
 
Jamani mchakato wa Auba unaendaje huko uhakika wa kumchukua upo au tuachane na ndoto za mchana maana Wenger anajijua mwenyewe


Ukweli Ni Kwamba:

• Uhakika Wa Auba Kuhama Dortmund Upo.
.
• Ila Uhakika Wa Auba Kuja Arsenal Ndiyo Hauko sawa...

Sababu:
• Dortmund wanataka hela ndefu £70m+ wakati Wenger Hayuko Tayari kuzitoa kutokana na Umri Wa Auba umeshakwenda, Nidhamu Yake si ya Kuridhisha, n uwezo wake pia unaonekana Kupungua..

• Wenger anaweza Kumnunua iwapo tu bei Yake itacheza kwenye £50m+
 
Ukweli Ni Kwamba:

• Uhakika Wa Auba Kuhama Dortmund Upo.
.
• Ila Uhakika Wa Auba Kuja Arsenal Ndiyo Hauko sawa...

Sababu:
• Dortmund wanataka hela ndefu £70m+ wakati Wenger Hayuko Tayari kuzitoa kutokana na Umri Wa Auba umeshakwenda, Nidhamu Yake si ya Kuridhisha, n uwezo wake pia unaonekana Kupungua..

• Wenger anaweza Kumnunua iwapo tu bei Yake itacheza kwenye £50m+
Duh sasa nani wako tayari kumnunua kwa hiyo 70
 
Jamani mchakato wa Auba unaendaje huko uhakika wa kumchukua upo au tuachane na ndoto za mchana maana Wenger anajijua mwenyewe

Sioni kama kuna uwezekano hii deal imekufa kifo cha kawaida,leo tena AW amesema wako interested kumleta Auba ila akasema "We're far from being close" na amekubali kua Dortmund wanajua kua Arsenal wana pressure ya kumsajili Auba ukichagizwa na kelele za mashabiki ndio maana wanakomaa ili wavune sarafu nyingi sidhani kama Arsenal watatoa £ 70+
Jonny Evans naona tumepeleka £20 m + Debuchy hii deal inaweza kufanyika,duh i HATE transfer window aiseeee maana kila time unachungulia nini kinaendelea
 
Back
Top Bottom