Mr Kaptenovela
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 621
- 618
It is reported that Aubameyang and his dad who is also his agent have arrived in London ahead of Arsenal medical.
Alexis Sanchez amelazimika kufanya mazeozi na timu ya vijana huku mpango wa mchezaji huyo kuelekea Old Trafford ukiendelea kuchelewa. (Times)
AW aache utani basi,muuze uyu jamaa haraka iwezekavyo maisha yaendelee hii pinda pinda tutakuja kujutia bila sababu.


Tatizo AW wa zamani sio wa sasa, siku hizi ni mtu wa kusita sita, kutokufanya maamuzi mapema, kutokujiamini, dalili zote za uzee...![]()
Uyu jamaa hana longo longo namuamini sana kwenye taarifa zake na mara zote anatoa taarifa sahihi nahisi AW kwa mara nyingine anatuletea balaa kwa nini anamkomalia Sanchez wakati Manure wameleta sarafu mezani aaaaggggrrrrh....![]()
View attachment 680221
Ngoja tutulie tuone...



Tatizo AW wa zamani sio wa sasa, siku hizi ni mtu wa kusita sita, kutokufanya maamuzi mapema, kutokujiamini, dalili zote za uzee...
Kwa kweli anaiharibu hivi hivi timu huku wahusika wakiangalia pembeni..
Uyu Zorc ana mikwara sana maana juzi amewaka utadhani hawataki kumuuza nimecheka kuona leo kaenda London![]()
ndo hivyo alikuwa anagoma but hana jinsi kwa sasa...

![]()
![]()
ndo hivyo alikuwa anagoma but hana jinsi kwa sasa...
Ila I think tunahitaji pia na one defender kama Evans hivi hapo itakuwa poa...
Nasikia na Ramsey kesharecover tayari hivi ni kweli???
Huyu babu hayuko sawa aise...Nimeshangaa kuona Sanchez kafanya mazoezi na wenzake leo alafu AW anasema kesho anaweza akamtumia hapo ndipo napata mshtuko wa tumbo atakuja aumizwe hili deal liingie maji bila sababu hakika hii bahati ikipotea ndio basi tena.
Good news...Rambo karudi na game ya BOU alicheza akitokea benchi,good news Ozil leo ame-train pia ivyo nae anaweza jumuishwa kwenye kikosi kesho.
![]()
Naona Manchester wamekomaa wanataka separate deals, wamalizane na Sanchez , halafu arsenal waendelee kubembelezana na mikhitaryan![]()
Uyu jamaa hana longo longo namuamini sana kwenye taarifa zake na mara zote anatoa taarifa sahihi nahisi AW kwa mara nyingine anatuletea balaa kwa nini anamkomalia Sanchez wakati Manure wameleta sarafu mezani aaaaggggrrrrh....![]()
Dili ilibidi ikamilike kitambo sana, kwa hapa siwalaumu arsenal, arsenal na utd walishakubaliana kufanya swapping, inshu ikabaki kwa yule kibonge Raiola.![]()
Uyu jamaa hana longo longo namuamini sana kwenye taarifa zake na mara zote anatoa taarifa sahihi nahisi AW kwa mara nyingine anatuletea balaa kwa nini anamkomalia Sanchez wakati Manure wameleta sarafu mezani aaaaggggrrrrh....![]()

Ansley maitland nile hahahahaha mkubali kutoa martial,lingard,rashford pamoja na pogba .......Dili ilibidi ikamilike kitambo sana, kwa hapa siwalaumu arsenal, arsenal na utd walishakubaliana kufanya swapping, inshu ikabaki kwa yule kibonge Raiola.
Arsenal wana utaratibu wao agent fees huwa hawalipi zaidi ya 17% lakini kama unavomjua Mino alikua anataka alambe parefu na hapa ndipo dili ilipokua ime stuck, arsenal hawakua tayari kulipa zaidi ya utaratibu wao wa siku zote but so far nasikia kila kitu kipo ok tayari, Sanchez usiku wa jana kaondoka rasmi hotelini na kuwaaga wenzake.
Tukisha mchukua Ozil next summer tunaomba mtutunzie na Maitland Nile tutakuja kumchukua akishakomaa![]()
Ozil is going to sign a new contract with arsenal ww kichwa..Dili ilibidi ikamilike kitambo sana, kwa hapa siwalaumu arsenal, arsenal na utd walishakubaliana kufanya swapping, inshu ikabaki kwa yule kibonge Raiola.
Arsenal wana utaratibu wao agent fees huwa hawalipi zaidi ya 17% lakini kama unavomjua Mino alikua anataka alambe parefu na hapa ndipo dili ilipokua ime stuck, arsenal hawakua tayari kulipa zaidi ya utaratibu wao wa siku zote but so far nasikia kila kitu kipo ok tayari, Sanchez usiku wa jana kaondoka rasmi hotelini na kuwaaga wenzake.
Tukisha mchukua Ozil next summer tunaomba mtutunzie na Maitland Nile tutakuja kumchukua akishakomaa![]()
Rumours tu ..hakuna kinachothibitishwa juu yke...habar sahihi angalia official arsenal websiteView attachment 679692This wage is too much..