Naona ndugu zako walijiandaa kuja ila kwa matokeo yalivyo wameishia njiani.leo tunauaaaaa!!!!!
Naamini kuna waandishi wa michezo kibao wamechukia maana walishaanda articles zao "life after Sanchez"Hii ndiyo Arsenal tuliyoizoea, tunayoijuwa, sharp, offensive, bright...
Hata wakisema vipofu tumeona mwezi shauri yao, hatujali...


wanajiandaa ku-delete walichoandika.hhhhhhhh...,halafu kweli..,hata huku bongo kina Edo kumwembe walishaandaa makala kuponda....Naona ndugu zako walijiandaa kuja ila kwa matokeo yalivyo wameishia njiani.
hawawezi hata kunusa humu leo...ngoja wakomazwe na wagumu Burnley..
Naamini kuna waandishi wa michezo kibao wamechukia maana walishaanda articles zao "life after Sanchez"wanajiandaa ku-delete walichoandika.
Kabisa, nilikuwa nasikia predictions na odds kwao, wengi walitabiri tunafungwa tena leo...Naona ndugu zako walijiandaa kuja ila kwa matokeo yalivyo wameishia njiani. Naamini kuna waandishi wa michezo kibao wamechukia maana walishaanda articles zao "life after Sanchez"wanajiandaa ku-delete walichoandika.


sina la kuongeza nasubiri kipindi cha pili.Mikeka itachanika sana leo.....Kabisa, nilikuwa nasikia predictions na odds kwao, wengi walitabiri tunafungwa tena leo...
Naona penseli walizochonga kwa ajili ya kutuponda leo wazichomeke kule kwenye giza...
hhhhhhhhKabisa, nilikuwa nasikia predictions na odds kwao, wengi walitabiri tunafungwa tena leo...
Naona penseli walizochonga kwa ajili ya kutuponda leo wazichomeke kule kwenye giza...
madam umerudi!!! za siku mkuu..Mikeka itachanika sana leo.....
madam umerudi!!! za siku mkuu..



Mkuu plz this word madam (Madame? ??) Utanikwaza tafadhali!!!!hhhh jibu kwanza salamu..Mkuu plz this word madam (Madame? ??) Utanikwaza tafadhali!!!!
USHINDE 100,UFUNGWEE 100,UDROO... SIJUI UFANYE NINI...NAFASI YAKO YA 6 INAKERA HII![]()



jibu utakua nalo najua.hhhhhhhh eti hata kwa mitutu...no losing ozil hata mm naunga mkono hiyo kauli...ni kama nembo yetu kwa sasa..Honestly we cant afford losing Ozil duh uyu muarabu inabidi board ipambane hata kwa mtutu wa bunduki aongeze mkataba.
Who want Sanchez....?AW baada ya game kasaini hayo makaratasi ya Sanchez aende tuondoe toxic influence kwenye dressing room.