Wanawachezea akili sana washabiki wao, hasa wale Season Ticket holders, its not fair, kuna siku watagoma hawa wajamaa watajijuwa, subiri tu..Burudani ni kua bodi ya Arsenal na AW hawashtuki na watakausha wakiamini kua na ili pia litapita.
Man u inasajili ili iuze jezi nyingi....
Haisajili ili inyanyue kwapa...
Haaaa haaaa unawaita wanazi wa Manure waje watusurubu
Huu unazi bhana...miaka 13 ni KUYUMBA KIDOGO!!!!!Hii rekod itasimama muda mrefu sana heshima kwa wenger japo kayumba kidogo.
View attachment 675654
Kawapigie kelele wagonjwa wa ukimwi huko.....Week end tamu hii, huku Chelsea... huku Man City ...huku Arsenal na kesho Stoke anapigwa nyingi![]()
Mzee wetu kayumbaHuu unazi bhana...miaka 13 ni KUYUMBA KIDOGO!!!!!
Hii rekod itasimama muda mrefu sana heshima kwa wenger japo kayumba kidogo.
View attachment 675654
Sio itasimama muda Mrefu Bali itasimama milele Coz Kikosi Kama Hichi hakitatokea Tena Kuwepo Katika Sayari hii...
Halafu leo anatokea Mtu from nowhere anasema Kikosi cha kina Sterling na Otamendi ndiyo Kikosi bora cha Miaka yote alaaa!
Muasisi wa hilo cheko ka-AWOL
Atafutwe afunguliwe mashtaka ya kijeshi mkuu! Si kwa kuwatelekeza wenzake wakati mgumu namna hii.
we radika post za huyo zwazwa usiwe unazileta humu bhana...huyo zuzu timu zingine zikifungwa anatulia....ila arsenal ikifungwa anaanza kuchezesha kijambio ka anatafuta mume.....ana mihemko sana na arsenal inabidi Wenger akampose...