Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hongereni Liverpool mmeweza kututetea kwa Man City.
Poleni wazee wa "Lori ya mkaa".
 
Mzimu wa man u mwaka jana umehamia kwa arsenal...na huu mzimu bado unazunguka man city na chelsea wajiandae nao mwakan!!
Sure...tatizo la Man Utd bado haijapata kocha anaeendana na falsafa ya timu.Mou yuko pale lakini atafanikisha malengo yake kwa falsafa isiyoendana na klabu.
 
replacement ya sanchez ni Mahrez, inatakiwa kupata defenders wawili, tunahitaji namba 6, Malcom nimemfuatilia youtube, naona kama inaweza kuwa right addition
Hatuko serious kama sanchez unamreplace na mahrez, ni upuuzi wa hali ya juu.
 
Sure...tatizo la Man Utd bado haijapata kocha anaeendana na falsafa ya timu.Mou yuko pale lakini atafanikisha malengo yake kwa falsafa isiyoendana na klabu.
Kwa taarifa yako mou ataongezewa mkataba tena mrefu tu!! kwa kifupi kwa sasa sijaona kocha aliyeijenga ile team kama mou!! we unadhan kocha gan anaiweza man u tofauti na mou kwa sasa?
 
replacement ya sanchez ni Mahrez, inatakiwa kupata defenders wawili, tunahitaji namba 6, Malcom nimemfuatilia youtube, naona kama inaweza kuwa right addition
Yaani mkuu mAhrez,jony Evans halafu kuna beki wa Burnley simjui jina hao wanatakiwa kabla dirisha halijafungwa....,hivi vitoto chambers na holding vikacheze carabao....
Halafu mkuu ozil vp anatimka ama anabaki????
 
Ondoa hiyo fikra mkuu.....and if you think it may happen, pole yako
Kwq spidi hii, inawezekana kabisa.
Alafu Wenherr ni fala zaidi, sijui huo uchumi wake wa usomi ni wa miundo mbini tuu?? Yaani Sanchez na Ozil wakiwa wamebakiza miaka 2.5 au 3 ya mikataba yao ilitakiwa akae nao chini. Yeye anasubiri mpaka mwaka mmoja na nusu au mmoja sasa ndio hao wanajiondokea tena kwa bei chee.
 
Burudani ni kua bodi ya Arsenal na AW hawashtuki na watakausha wakiamini kua na ili pia litapita.
 
Kwq spidi hii, inawezekana kabisa.
Alafu Wenherr ni fala zaidi, sijui huo uchumi wake wa usomi ni wa miundo mbini tuu?? Yaani Sanchez na Ozil wakiwa wamebakiza miaka 2.5 au 3 ya mikataba yao ilitakiwa akae nao chini. Yeye anasubiri mpaka mwaka mmoja na nusu au mmoja sasa ndio hao wanajiondokea tena kwa bei chee.
Ulimuona Wenger anaikochi arsenal leo ww madenge??
 
Back
Top Bottom