Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku nyingine ya furaha kwa hisani ya Jordan Ibe.

a8b398a2b56cc7bdb0544fb065d91489.jpg
 
FT
BOU 2-1 Arsenal
Fair result,timu haina jipya tuko kama watoto vile naamini kuna darasa la kujifunza maana kuna dalili tukamaliza ligi nafasi ambayo hatujawahi kuifikiria karibuni.
Still Arsenal fan(die hard fan) na nitabaki ivyo.
Mkuu bora tumalize hata nafasi ya chini huko ili watu akili ziwaingie vzr mi kwangu kiroho safi kuliko kumaliza nafasi za juu halafu tuyaone hayahaya next season.....
Wakucheza karabao huko ndo sahivi wanaanza...welbeck,iwobi hapo lacazette anafungaje bora tufungiwe na mabeki....tukiendelea hivi sitashangaa club zinawadesh kidogo mastaa wetu wanagoma kusaini....
Sidhani kama kuna staa anayependa kucheza timu iñayopata matokeo ya hivi.....
Viongozi wetu wanatakiwa wabadilike sio wanaanza kujisifia mambo ya kipuuzi cjui uwanja cjui manini kisa wanapata faida halafu ss fans tunalialia tu huku....
Tusitake kuwa ka timu fulani inayoshangilia majezi siye hatujafika huko...
We need world class players in our team sasa....
TUNATAKA MABADILIKO....
 
Machungu zaidi yule ndorobo [HASHTAG]#Oxlade[/HASHTAG] kapiga bonge la bao!
Leo hata usingizi sidhani kama tutapata, *****...🙁😡😕😎😳😱😵
 
Back
Top Bottom