Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Hii alamu uzuri imegonga kipindi cha transfer window.......
Matatizo yamekuwa sehemu mbili sasa,attacking and defensively.....
Hapa ndo utaona ushenzi wa wakubwa wetu....
Sometimes natamanigi roho za mabosi wa timu nyingine... Abramovich na Perez... Hawa watu hawanaga utani kabisa...
Tungekuwaga hivi,nadhani tungekuwa mbali mno....,
Matatizo yamekuwa sehemu mbili sasa,attacking and defensively.....
Hapa ndo utaona ushenzi wa wakubwa wetu....
Sometimes natamanigi roho za mabosi wa timu nyingine... Abramovich na Perez... Hawa watu hawanaga utani kabisa...
Tungekuwaga hivi,nadhani tungekuwa mbali mno....,
