Siwezi amini mpaka aseme au club iseme..
We jamaa mbona unapoteaga ghafla?????? Au na ww umeingia kwa forest??Mwamba
![]()
Hakika huyu mteja wenu kashinda mechi moja tu kat ya 5 mlizokutana hapa karibun


Yule ndo kikwazo cha kwanza arsenal ....kisha bodi kwasabu yy ndo anawapa moyo kuwa tutasurvive tu na kikosi hkihki ...na kwakuwa bodi wao wanaanglia faida tu hawaumii .....binafsi hata mtu atokee leo anipe ofa nikacheki game ya arsenal Emirates au anywhere ....siwezi kubali though I'm gunners ....!!! Hao akina Sanchez na Ozil is better waondoke ...!! Ili wapate fundisho wabahiri sana wale jamaa!! ...tena waenda hkohko man united na man city ....ili akili ziwakae vizur .....kikwazo cha mwisho ni mashabiki wa arsenal wale wa London ....kwanini wasigomee mechi tano kwenda uwanjani kama hawajabadrika !!...af wapate na hasara kidogoDONDOO MICHEZONI :
WENGER : SINA MPANGO WA KUONDOKA ARSENAL
Meneja wa timu ya Arsenal, Arsene Wenger amewataka wapenzi wa Arsenal kupuuza uvumi wa kuwa ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu.
Akiongea na gazeti la Daily Mirror, Arsene amesema "nitaendelea kufanya maamuzi muhimu ya klabu hii. Ninaipenda klabu hii. Nitaendelea kuwepo hapa kama Meneja angalau hadi mwaka 2019."View attachment 674481
Hilo ni swala la mchezaji binafsi...Ndipo tulipofikia...
Fury at Arsenal ace after he's snapped at drug fuelled bash ahead of cup defeat Fury at Arsenal ace after he's snapped at drug fuelled bash ahead of cup defeat
Rekebisha huo mbichwa kabla hujaingia humu...
Tano wapi 10 hivi hadi tukae nafasi ya 10.....,hapo lazima akili iwakae vyema....Yule ndo kikwazo cha kwanza arsenal ....kisha bodi kwasabu yy ndo anawapa moyo kuwa tutasurvive tu na kikosi hkihki ...na kwakuwa bodi wao wanaanglia faida tu hawaumii .....binafsi hata mtu atokee leo anipe ofa nikacheki game ya arsenal Emirates au anywhere ....siwezi kubali though I'm gunners ....!!! Hao akina Sanchez na Ozil is better waondoke ...!! Ili wapate fundisho wabahiri sana wale jamaa!! ...tena waenda hkohko man united na man city ....ili akili ziwakae vizur .....kikwazo cha mwisho ni mashabiki wa arsenal wale wa London ....kwanini wasigomee mechi tano kwenda uwanjani kama hawajabadrika !!...af wapate na hasara kidogo