Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira umedoroa sana, kama vile hatuna confidence, au tunaogopa kushambilia..
Ka timu kka fresh, ila hatuna ile kasi na ubuniifu mbele, ka timu kako kama ka middle table kabisa, ila babu anaona sawa, hakuna cha title, chp lg wala FA cup, hata League Cup sahau..
 
Hii game haina tofauti na chandimu. Mpira mbovu, Uwezi kulipa pesa kwenda kuangalia game mbovu kama hii.

Nimegundua timu yenu bila Ozil na Sanchez ni "shithole"

Soory lakini
 
Mpira umedoroa sana, kama vile hatuna confidence, au tunaogopa kushambilia..
Ka timu kka fresh, ila hatuna ile kasi na ubuniifu mbele, ka timu kako kama ka middle table kabisa, ila babu anaona sawa, hakuna cha title, chp lg wala FA cup, hata League Cup sahau..
Ukweli mchungu swahiba,mara zote nikiwaona Iwobi na Welbz najua kabisa kuna wehu utaendelea.
 
Ukweli mchungu swahiba,mara zote nikiwaona Iwobi na Welbz najua kabisa kuna wehu utaendelea.
Tuvumilie tu mkuu, sijuwi babu hata anatupeleka wapi, ila Gunners forever, tutapata jembe tu, soon, hii timu yahitaji kocha mwingine, mgumu, tactical aware, mkali, mbona tutaanza tena kuogopwa, kwa sasa tuko laini mno, players kama hawajali vile..
 
Back
Top Bottom