Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
We braza wacha unaaaa...... Hamumpondi kule kila kukicha???Hamna kitu kama hicho labda aanze kesho
We braza wacha unaaaa...... Hamumpondi kule kila kukicha???Hamna kitu kama hicho labda aanze kesho
Toka nianze kuingia ktk jukwaa la manchester united hakuna siku wala post nliomponda pogba naujua uwezo wake akiwa juventus mfumo uliopo kwetu unambana sana wa kuzuia akiachiwa yule ni mnyama ila kama hukuwah kuangalia serie A ngumu sana kujua uwezo wa pogba mana wengine ni epl tuWe braza wacha unaaaa...... Hamumpondi kule kila kukicha???
Nacheki ligi zote mm.....mi si wakispoti.....Toka nianze kuingia ktk jukwaa la manchester united hakuna siku wala post nliomponda pogba naujua uwezo wake akiwa juventus mfumo uliopo kwetu unambana sana wa kuzuia akiachiwa yule ni mnyama ila kama hukuwah kuangalia serie A ngumu sana kujua uwezo wa pogba mana wengine ni epl tu
Nenda mkuu mm pogba nampenda sana ila sio kumpa u captain hicho tu sipend kuna wakongwe paleNacheki ligi zote mm.....mi si wakispoti.....
Ningekuwa nauwezo wa kumove post yako huku ningekukamata vzr....
Ngoja ntaqoute post yako kule uliyomponda pogba ntakuonyesha...
Hhhhhhhh kwa hiyo kumbe ulikuwa unapinga Asiwe kiongozi????Nenda mkuu mm pogba nampenda sana ila sio kumpa u captain hicho tu sipend kuna wakongwe pale
Bado sana yule ile kazi y de gea na phil jones au hata smallingHhhhhhhh kwa hiyo kumbe ulikuwa unapinga Asiwe kiongozi????
Hii ni kweli ama????
Kakulia pale pia....Bado sana yule ile kazi y de gea na phil jones au hata smalling
Aaaha kumbe!! Sawa ila sidhani ka yule Mzee atasajili...Tetesi
Alitoka lakinKakulia pale pia....
Hhhhhhhh haya bhana....ile yule hawezi kuwa kiongozi...kakaa kianasaanasa.....bac poa...Alitoka lakin
Hiyo si akaunti ya welbeck ww shushushu mwekundu...
Hiyo si akaunti ya welbeck ww shushushu mwekundu...
In short wachezaji wetu walikuwa ka wamekunywa gongo.....Povuuuuu mkuu roberto nlikuwa naangalia marudio ya mechi yenu yani yule walcot hata bench la nottingham forest hakai
Hiyo bei labda Mzee Wenger kafa..Tetesi
Arsenal wanamtaka Lemar kwa £90m kumrithi Alexis
Thomas Lemar amerudi kwenye rada za Arsenal akitarajiwa kutua Emirates kuchukua nafasi ya Alexis Sanchez anayetazamiwa kwenda Man City, kwa mujibu wa Mirror.