RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,801
- 129,644
Maana yangu mchezaji kama Iwobi akiwa ni afadhali kuliko anaeingia kuna tatizo.Msimu uliopita nilipata matokeo chanya kwako lakini Arsenal ilishindwa kuingia top 4 baada ya almost miongo miwili simply hakuna uhusiano wowote wa matokeo ya Arsenal na kufungwa/kushinda dhidi ya Utd
Naamini ulikua unatazama game yenu ndio maana umeuliza ivyo,ila angalia post yangu ya juu baada ya 1st half nilisema leo JW10 na Iwobi ndio wanaipa timu uhai ivyo kutolewa Iwobi ilikua lazima nishangae hasa kuona anaingia Welbeck ambae ni zaidi ya mediocre.
