Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni ngumu kuhama kushabikia timu...Lakini tunavumilia mateso haya ya poor performance ya Arsenal kwa sababu wenye timu wanadhani Wenger ni Alfa and Omega...Disgusting indeed
Mashabiki wa gunners wengine cjui mpoje
Ndo maana mnachekwa mitaani
Ww kwa mfano unalalamikia nn sahivi.Droo na west ham? Mbona kuna wengine wamekalia kule
Sisi gunners miezi hii ya November na December mara nyingi ni miezi dume.Wenger hulalamikiwa sana miezi hii.
Mi naamini tutarudi ktk ubora wetu kuanzia j mosi.Tunaanza na Newcastle nyumbani tunampa za kutosha stress zinaondoka
Sasa nyie babu babu babu mnakera bhana
 
leicester city yupo on fire huko nyie wazee wa mtaa wa 7
25158175_1536226336468169_1050754695192598554_n.jpg
Mbaraka mwinshehe mwaruka alie zaliwa June 1ol944 na kufariki January 12 mwaka wa 1979 kinanikumbusha mbali sana kibao hiki.
 
Ww ndio mpumbav
Droo tu hizi umeshaanza kuwaza unuksi
Gepu lenyewe la pointi dogo
Ondoa stress,piga supu jioni,oga,kula,sali,lala
Tutarudi katika ubora wetu
Umesahau gunners na miezi hii ya mwishomwisho
Mambo hayatunyookeagi sana.
Fomu yetu itaanza kurudi
Sawa kama unawaza kutakuwa na top four
Sahau kabisa hilo,tusipokuwa wanane msimu huu sijui,ila utanikumbusha tutamaliza namba nane
 
Jack Wilshere, Daniel Sturridge na Julian Draxler ni miongoni mwa majina ya wachezaji nyota 10 wanatakiwa kuzihama klabu zao katika dirisha dogo la usajili Januari, mwakani.

Wachezaji hao wanatakiwa kuzihama klabu zao kama wana ndoto ya kuzitumikia timu za Taifa katika fainali za Kombe la Dunia zilizopangwa kuchezwa mwakani Russia.

Nyota hao hawana namna zaidi ya kuondoka baada ya kukosa namba katika kikosi cha kwanza. Makocha wa timu za Taifa wako ‘msituni’ kuangalia wachezaji wenye viwango bora.

Baadhi ya nyota wengine wanatakiwa kuhama Mbelgiji Michy Batshuayi aliyekosa namba Chelsea. Luke Shaw Manchester United na Danny Rose wa Tottenham Hotspurs wanaocheza nafasi ya beki wa kushoto katika kikosi cha England.

Fainali hizo zimebakiza takribani miezi mitano kabla ya kuanza kutimua vumbi na kila timu inatakiwa na wachezaji 23 watakaokwenda Russia.
 
Bosi wa Arsenal, Arsene Wenger amesisitiza kuwa Manchester United hawajawasiliana na Gunners kuhusu uhamisho wa Mesut Ozil.
Kiungo huyo akiwa amebakiwana miezi sita tu kwenye mkataba wake, klabu kadhaa ikiwa ni pamoja na United zimehusishwa na tetesi za kutaka kumsajili Mjerumani huyo.
Hata hivyo, akidai kuwa hana uhakika kuhusu maendeleo ya mazungumzo na Ozil, Wenger amesisitiza kuwa kiungo huyo hataondoka London Kaskazini kabla ya mwisho wa msimu.
Mfaransa huyo aliwaambia waandishi: "Karibu kiasi gani? Sijui ni karibu kiasi gani. Man United hawajawahi kutupigia, kwa hiyo sijui jambo hilo limekujaje.
"Hilo ni jambo ambalo limezushwa. [Atabaki] hadi mwisho wa msimu, mengine yapo wazi."
Pamoja na kuwa Ozil amefunga magoli mawili na sare tano katika mechi 14 Ligi Kuu Uingereza msimu huu, hajafanikiwa kufunga katika mechi tatu za mwisho.
 
Bosi wa Arsenal, Arsene Wenger amesisitiza kuwa Manchester United hawajawasiliana na Gunners kuhusu uhamisho wa Mesut Ozil.
Kiungo huyo akiwa amebakiwana miezi sita tu kwenye mkataba wake, klabu kadhaa ikiwa ni pamoja na United zimehusishwa na tetesi za kutaka kumsajili Mjerumani huyo.
Hata hivyo, akidai kuwa hana uhakika kuhusu maendeleo ya mazungumzo na Ozil, Wenger amesisitiza kuwa kiungo huyo hataondoka London Kaskazini kabla ya mwisho wa msimu.
Mfaransa huyo aliwaambia waandishi: "Karibu kiasi gani? Sijui ni karibu kiasi gani. Man United hawajawahi kutupigia, kwa hiyo sijui jambo hilo limekujaje.
"Hilo ni jambo ambalo limezushwa. [Atabaki] hadi mwisho wa msimu, mengine yapo wazi."
Pamoja na kuwa Ozil amefunga magoli mawili na sare tano katika mechi 14 Ligi Kuu Uingereza msimu huu, hajafanikiwa kufunga katika mechi tatu za mwisho.
Numbisa please let him go. Arsenal as a Team needs complete Overhaul or re-engineering from the Manager to some players including Ozil
 
Mie sina mamlaka na wachezaji wa mpira wowote duniani. So makocha na viongozi wao wanafahamu wanachofanya
Numbisa please let him go. Arsenal as a Team needs complete Overhaul or re-engineering from the Manager to some players including Ozil
 
Kutokana na mlolongo wa matokeo yasiyoridhisha tangu walipofungwa na Man United kwenye uwanja wao, bosi wa Arsenal amefunguka kuwa kipigo kinawatesa
Bosi wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kuwa timu yake bado inahaha kuzoea kipigo cha nyumbani dhidi ya Manchester United mapema mwezi huu.

Gunners walitawala mchezo wote na kufanya mabadiliko bora katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Uingereza mnamo Desemba 2, lakini kipa wa upande wa pili David de Gea alikuwa na kiwango safi Arsenal waliponyukwa 3-1.

Klabu hiyo ya London imepata sare dhidi ya Southampton na West Ham United tangu mechi ya United, na Wenger amekiri kuwa kipigo hicho bado kimo kwenye akili za wachezaji wake.

"Bado kinazunguka akilini mwetu.Tunahitaji kuondoa hiyo. Ukiwa na nafasi nyingi kama tulizokuwa nazo na unatoka bila kitu, ni vigumu kukubaliana na hali halisi na itatuchukua muda kuzoea," Wenger aliwaambia waandishi.
"Nadhani njia bora ni kuendelea kusahau hilo na kuelekeza akilikwenye ubora wa mechi zetu."

Arsenal wamedondoka hadi nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu Uingereza, na watakuwa wakitaka kupanda tena juu watakapoikabili Newcastle United Jumamosi mchana.
 
[HASHTAG]#coyg[/HASHTAG]
Tuburudike na timu, its bigger than us and yes even AW...f**k him, he will go one day...
Mambo safi mpaka sasa...
 
Back
Top Bottom