mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Angalia Chelsea ya ngapi na Arsenel ya ngapi?We si umeuliza nimekujibu
Wote tumekutana na Moyes consecutively
Angalia Chelsea ya ngapi na Arsenel ya ngapi?We si umeuliza nimekujibu
Wote tumekutana na Moyes consecutively
We kweli mjinga wwAngalia Chelsea ya ngapi na Arsenel ya ngapi?
Tunaangalia msimamo wa ligi.We kweli mjinga ww
Mbona unakimbia mada hewani
Umesema ss genge la wahuni kisa tulidraw,ww ulishinda?
![]()
unaniacha pointi ngapi?
Hivi network za 4g hazishiki siku hizi.Naona sahivi zimeshuka hadi 1g.Muda si mrefu zitaanza zile 0g(draw) nyingi kupitiliza.Zitaenda hadi negative g(visago)Anza kwanza Kupambana na burnley ukileta mchezo hukai hata nafas nafasi ya 6 kukuwezesha mwakan kucheza ueropa
We kweli lazima nikupotezee naona utaniambukizaJust ignore me.
Sawa Goonyaani tofauti ni point 8 tu tunawakuta
Nyie mashushushu wekundu last week mlikuwaga wapi mbona mlipotelea kusikojulikana? Sikuelewa tatizo nn nikaamua kuwaibukia hukohuko kwenu nikakuta mmejazana huko mnaelezana matatizo yenuSawa. Naona povu lishaanza kutoka. Uwe na siku njema.

Wakikuletea Moyes mwingine c kazi imeisha
Hivi network za 4g hazishiki siku hizi.Naona sahivi zimeshuka hadi 1g.Muda si mrefu zitaanza zile 0g(draw) nyingi kupitiliza.Zitaenda hadi negative g(visago)
Asee ngoja nisikae sana huku chini naona mwenye nafasi anaanza kunipigia hodi
Ww hizo nne zako uliendelea nazo?utakuwa mgeni kwenye mpira si ajabu ndo mana mshabik wa arsenal aliekuambia timu ikiwa inashinda 4y huwa hivyo had lig uliona wapi? mlipomfunga huddersfield 5 mbona hamkuendelea?
Tumeshahamia mtaa wa 7
Nadhani wengine wanakwenda sababu tiketi huuzwa mapema hivyo wanakuwa wameshanunua.Mimi nishabiki wa Arsenal
Ila nasema kweli kbsa,hakuna mashibiki wajinga Duniani kama wa Arsenal tena wale wanaoingia viwanjani kuangalia mechi ya Arsenal pale Emirates
Ndio maana Wenger amekuwa na kiburi
Njia Rahisi nikugoma kwenda kiwanjani kwa muda wote mpaka mabadiliko yatapokuja
Hakuna kwenda ila inakwenda inafungwa wanasema Wenger out,tujiulize nani mjinga na mpumbavu kama sio sisi mashabiki na wapenzi wa Arsenal duniani,
Ww ndio mpumbavMimi nishabiki wa Arsenal
Ila nasema kweli kbsa,hakuna mashibiki wajinga Duniani kama wa Arsenal tena wale wanaoingia viwanjani kuangalia mechi ya Arsenal pale Emirates
Ndio maana Wenger amekuwa na kiburi
Njia Rahisi nikugoma kwenda kiwanjani kwa muda wote mpaka mabadiliko yatapokuja
Hakuna kwenda ila inakwenda inafungwa wanasema Wenger out,tujiulize nani mjinga na mpumbavu kama sio sisi mashabiki na wapenzi wa Arsenal duniani,