Tetesi
Arsenal wanafanya jitihada moja ya mwisho kumshawishi Mesut Ozil kusalia kwenye klabu, wakiwa na matumaini kuwa awamu nyingine mwisho ya mazungumzo kumshawishi mchezaji huo kusalia licha ya Barcelona na Manchester United Kummezea mate. (Daily Mirror)
Yes,Yes Nzuri,Nzuri sana habar njema big upTetesi
Arsenal wako katika nafasi nzuri ya kumsaini kipa wa Manchester United Sergio Romero, 30. (Daily Star)
Cech amezeeka ....He needs to retire. His flexibility between the poles is essentially slowly diminishing at an exponential rate...viungo vimekaza uzee unamnyemelea....Yes,Yes Nzuri,Nzuri sana habar njema big up

Wilshsre is good bhana.....Mara ya mwisho JW10 kuanza kwenye EPL akiwa Arsenal ilikua 15 May 2016.
![]()
Naona AW amefanya mabadiliko kwenye squad ingawa napata mashaka sana nikiona kikosi kama hiki ila naamini babu anajua anachofanya.
All the best lads.......![]()
Mpigie simu Babu AW amwingize fastaTunamuhitaji Lacazette hapa hii shughuli ishaingia utata,tunamiliki sana ila hakuna mtu wa kufanya jambo duh.


Welbeck anaingia badala ya Iwobi.Hivi kwanini tukiwachapa huwa mnachanganyikiwa? Kabla ya kuwapa kile kichapo cha 1-3 mlikuwa kwenye form ila tangu tuwape zile tatu naona draw mbili mfululizo! Jitahidini nafasi ya nne siku hizi si lelemama!FT
WHU 0-0 Arsenal
Duh......!matokeo mabovu yanaendelea hawa jamaa hawajui kabisa thamani thamani ya jersey.