McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Xhaka OUT and Jackpower IN
️Duh!! Afadhali naweza kunywa kahawa ilikuwa imegoma kupita kooni
Arsenal hawana watia majaro, jamaa wapaki kwenye 18 na hao kina Ozil wanafurukuta palepale, afadhali wangemchuku kichuya.FT
Soton 1-1 Arsenal
Tuna tatizo kubwa kwenye umaliziaji maana tunaweka kambi kwenye final 3rd ya wapinzani alafu hakuna matokeo.
La kumfukuza City halina mjadala. Leo hakuna kufungwa. Ni afadhali gap ibaki vile vile au ipungue.Kutuacha mbali sio habari tena swahiba ni vema utuambie kua unakaza kumkimbiza jirani yako na kama ukipigwa basi ni dhahiri kua mbio za ubingwa zinakua zinatabirika.
La kumfukuza City halina mjadala. Leo hakuna kufungwa. Ni afadhali gap ibaki vile vile au ipungue.
Mpira magoli....ukiujua unafunga magoli.Kila la heri ila niko timu ya wanainchi leo hua nasikia faraja kuona wanaojua wakishinda.
Hivi hii ni timu
Au genge la wahuni.
Unachekelea drop na south fala sanaDuh!! Afadhali naweza kunywa kahawa ilikuwa imegoma kupita kooni