mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Jiandaeni tena leo ni kipigo kwa kwenda mbele



Mmmhhh!!!! Huyu Austin ni hatari anatakiwa akabwe vzr
This is a winning game
Mechi nzuri sana...end to end!Soton 1-0 Arsenal
Dakika ya 3
Tadic, Ward-Prowse,Redmond,Romeu hawa madogo wazuri sana.Twajuwa The Saints wagumu, ila ni mechi kama hizi twatakiwa kuonyesha na sisi wazuri...
Ila kama Mertasacker ni beki chaguo la pili, Arsenal hawako serious.Twajuwa The Saints wagumu, ila ni mechi kama hizi twatakiwa kuonyesha na sisi wazuri...