McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,562
Hawa watoto Huddersfield tukileta uzembe tutabeba aibu maana hawa wapo kile kikundi cha vitimu vinavyowakomalia wazee tukileta utani kama game ya Burnley hakika majirani watahamia hapa leo.
Wanakukamiaga wapi? Unakumbuka mara ya mwisho Goons kucheza na Huddersfield ilikuwa lini?Asafavali maana hawa jamaa wanakamiaga
Eti itatusaidia!! Naona mmeshasahau kale kawimbo ka [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG]FT
Arsenal 5-0 Huddersfield
Tunawasubiri Manure tukiwa na winning mentality hii itatusaidia sana kwenye game inayofuata,good thing Ozil,Lacanyavu na Sanchez wote wamefunga ila nimefurahi Ozil ka-assist mara 2.
BRING IT ON....Manure..[emoji1491]
Eti itatusaidia!! Naona mmeshasahau kale kawimbo ka [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG]