Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa watoto Huddersfield tukileta uzembe tutabeba aibu maana hawa wapo kile kikundi cha vitimu vinavyowakomalia wazee tukileta utani kama game ya Burnley hakika majirani watahamia hapa leo.
 
FT
Arsenal 5-0 Huddersfield
Tunawasubiri Manure tukiwa na winning mentality hii itatusaidia sana kwenye game inayofuata,good thing Ozil,Lacanyavu na Sanchez wote wamefunga ila nimefurahi Ozil ka-assist mara 2.
BRING IT ON....Manure..
 
FT
Arsenal 5-0 Huddersfield
Tunawasubiri Manure tukiwa na winning mentality hii itatusaidia sana kwenye game inayofuata,good thing Ozil,Lacanyavu na Sanchez wote wamefunga ila nimefurahi Ozil ka-assist mara 2.
BRING IT ON....Manure..
Eti itatusaidia!! Naona mmeshasahau kale kawimbo ka [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG]
 
Eti itatusaidia!! Naona mmeshasahau kale kawimbo ka [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG]

Tafuta sehemu yoyote kwenye huu uzi au nje ya uzi huu ukikuta nimewahi kuandika neno Wenger Out basi nipewe BAN kwa mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom