Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asanteni majirani..

23659479_1728422967208291_1840503579894337967_n.jpg
 
Tetesi
ARSENAL & CHELSEA ZAMWANIA RICHARLISON


Arsenal na Chelsea ndizo klabu zilizoonyesha nia ya kumsajili winga wa Watford Richarlison.
Kwa mujibu wa Star on Sunday , Gunners wapo tayari kupigana vikumbo na mahasimu wao wa London, Tottenhma kuinasa saini ya mchezaji huyo dirisha la uhamisho wa Januari.
 
Arsenal itawalipa Borussia Dortmund takriban £1.8m ili kumuajiri afisa anayesaka wachezaji wazuri Sven Mislintat anayejulikana kama 'Diamond Eye' - kuwa mkuu wa usajili wa wachezaji. (Sport Bild via Sun)
 
Arsenal itawalipa Borussia Dortmund takriban £1.8m ili kumuajiri afisa anayesaka wachezaji wazuri Sven Mislintat anayejulikana kama 'Diamond Eye' - kuwa mkuu wa usajili wa wachezaji. (Sport Bild via Sun)

Diamond Eye atakua scout wetu kuanzia january ni mpango wenye kutia moyo ingawa una changamoto nyingi kwa sasa.
 
TETESI
Arsenal wana mpango wa kumsajili Draxler kutoka PSG kwa mkopo katika dirisha dogo (Januari) wakiwa na mpango wa kumsajili moja kwa moja kwenye dirisha la summer,Draxler ni mchezaji anaewindwa na Arsenal kwa misimu kadhaa sasa.
56f7e4fdaa04832774a1535744468fa0.jpg
 
Tetesi
ARSENAL YAPANGA KUZUNGUMZA NA GORETZKA


Arsenal wataanza mjadala na kiungo wa Schalke Leon Goretzka mwaka mpya kwani wanajiandaa na maisha bila ya Mesut Ozi, kwa mujibu wa Daily Mail .
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani atakuwa mchezaij huru ifikapo 2018 na ataruhusiwa kuongea na klabu nyingine kuanzia Januari.
 
Tetesi
ARSENAL YAPANGA KUZUNGUMZA NA GORETZKA


Arsenal wataanza mjadala na kiungo wa Schalke Leon Goretzka mwaka mpya kwani wanajiandaa na maisha bila ya Mesut Ozi, kwa mujibu wa Daily Mail .
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani atakuwa mchezaij huru ifikapo 2018 na ataruhusiwa kuongea na klabu nyingine kuanzia Januari.
Ozil asepe 2 nauona umuhimu wake 2 timu ikiwa ina attack but ikiwa inadefend nafuu hata Mata
 
Leo Babu kaamka vizuri..kaweka wachezaji wa kikosi cha wakubwa.Sio wale Watoto anaowatumia

Ni kweli leo angalau sura zote zinajulikana nadhani anawapa game fitness maana december sio mchezo hawa wanaocheza leo watakua msaada kipindi cha bandika bandua.
 
Hii mechi haina uzito sana. Nimefurahi kumuona Wilshere ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom