arsenal starting 11 against spursView attachment 632872
mzee amejitahd kupanga kikoc fresh leo lawama zote kwa wachezaji tu.!Line-up iko poa utashangaa kikosi hiki kinashindwa kuipa heshima badge na lawama anapewa AW.
mzee amejitahd kupanga kikoc fresh leo lawama zote kwa wachezaji tu.!
Hata kuangalia mpira siku hizi mood hakuna kabisa..Daah Sijui nini kimeikumba timu yetuHonestly wachezaji wetu hawana spirit ya upiganaji siku hizi unakuta derby kama hii wakawa soft kuliko unavyodhani.
Hata kuangalia mpira siku hizi mood hakuna kabisa..Daah Sijui nini kimeikumba timu yetu
️
️We don't care..Gori la kupewa
Leo tumeamka vizuri.Vijana wana spirit ya ajabuHT
Arsenal 2-0 Spurs
Tumecheza vizuri kipindi cha kwanza na ivi ndivyo tunapaswa kucheza.
Timu iko vizuri sikuzote,tatizo ni babu na upangaji wake wa lineupLeo tumeamka vizuri.Vijana wana spirit ya ajabu
Lineup ya leo inapendeza zaidiTimu iko vizuri sikuzote,tatizo ni babu na upangaji wake wa lineup