Wanamaudhi kweli....leo tunacheka mechi inayofuata kilio ....Hii mizuzu kumbe inafanyaga makusudi! tushajuwa..subiri dawa yao...
tumestahili ushindi kwa game ya leo wachezaji walikua kwenye good mood leo wameutendea haki NLD.Hasa wale 2! Wanajuwa wako sokoni, mechi itatizamwa duniani kote, kichwa kinauma kabisa, wako kama mabibi zetu hawa..Wanamaudhi kweli....leo tunacheka mechi inayofuata kilio ....

FT
Arsenal 2-0 Spurs
Good game ladstumestahili ushindi kwa game ya leo wachezaji walikua kwenye good mood leo wameutendea haki NLD.
inapendeza zaidi. Ngoja nikapate castle lite bariiiiiidiPambaneni na hali zenu.....Mikeka imechanika balaa
![]()
![]()
inapendeza zaidi. Ngoja nikapate castle lite bariiiiiidi
Naingia recreation Magereza Ukonga nipombeke sasa....Haaaa haaa ile line-up ilinipa ujasiri wa kuagiza bia mapema sana leo.
Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Wale wa3 pale mbele, walinipa imani!Haaaa haaa ile line-up ilinipa ujasiri wa kuagiza bia mapema sana leo.
Babu yupo sana. Na huu plus Highbury estates ndio uchawi wake!Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Alipomnunua N. Anelka kwa pauni 500,000 tu afu akamuuza Madrid pauni 22m, cash wakanunua London colney! Mara paap wakakopa kujenga Emirates, kutahamaki deni limeisha! Wenger anawafanya wale maboss anavotaka!Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..