Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duhhh wenga ameshazoea kikosi kibovu ata akiwa nacho kizuri bora akivuruge kwa kuweka benchi wachezaji wazuri
 
Tumepewa ngeu 3 za ukweli...
Tena nafikiri tutaishia kucheza UEROPA tu...frustrating...Libabu wala halijali...
 
Siku Zote Walimwachia McDonaldJr Katika Uzi Huu! Lakini Laeo Wale Wazee Wa [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] Wameibuka Kivyengine....
Hawaonekani Katika Kusupport bali Wanaonekana Katika KuCriticise tu..
 
Siku Zote Walimwachia McDonaldJr Katika Uzi Huu! Lakini Laeo Wale Wazee Wa [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] Wameibuka Kivyengine....
Hawaonekani Katika Kusupport bali Wanaonekana Katika KuCriticise tu..
Ngoja tuwasaidie

[HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG]


b638c5b6d5cf572373e7fc036c267edd.jpg
 
Wachezaji wa Arsenal wangekua na rohoo kama wa Wenga wangefika mbali sana... make Wenga kaifikisha mbali sana Arsenal
 
Arsenal ni timu nzuri sana. Mchezo wao leo ulikuwa mzuri bali referee kawatibulia ndiyo maana hata mchezaji wa Man city mmoja kaongelea hilo pia. Ktk magoli matatu moja tu ndio sahihi.
Kuwa referee ni zaidi ya kazi. Aliwatoa mchezoni .Still ni timu nzuri changes ni chache sana.
 
Arsenal ni timu nzuri sana. Mchezo wao leo ulikuwa mzuri bali referee kawatibulia ndiyo maana hata mchezaji wa Man city mmoja kaongelea hilo pia. Ktk magoli matatu moja tu ndio sahihi.
Kuwa referee ni zaidi ya kazi. Aliwatoa mchezoni .Still ni timu nzuri changes ni chache sana.
Kwa man city ilivyo hivi sasa Arsenal kajitahidi sana, na bila upuuzi wa refa tungeondoka na point.


sijui wale wanaotumia uwanja wa matofali ya kuchoma watapigwa kumi na ngapi.
 
Refa katuua sana jana, Man City alivokuw anaongoza goli 2~1 arsenal alikuw anasawazisha na kuongeza ila refa aliwatoa mchezon sana sijui alibet mpuuz yule aaahgrr
 
Back
Top Bottom