Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The Big Boss.
e44556aa6873dee80ba336513cd5c1eb.jpg
 
Ni Wazi Kwamba Wale Washika Mabango Ya [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] Bado Wanaendelea Na Mgomo Wa Kutokurudi Kwenye Uzi Wao na Kumuachia McDonaldJr Peke yake Au-update uzi hii...

Lakini Kadri Timu inavuofanya Vizuri Ninawaona Wanaanza Kuchungulia Mmoja mmoja...
Matatizo ya arsenal si wenger tu,management nzima na jinsi club inavyoendeshwa ndio tatizo kubwa. Si kwamba arsenal inafanya vizuri kwa sasa,bado ni timu dhaifu sana,na wala hakuna hata dalili kama wataweza kuingia top four.
 
Matatizo ya arsenal si wenger tu,management nzima na jinsi club inavyoendeshwa ndio tatizo kubwa. Si kwamba arsenal inafanya vizuri kwa sasa,bado ni timu dhaifu sana,na wala hakuna hata dalili kama wataweza kuingia top four.

Mimi Siamini Kama Matatizo Ya Kiuendeshaji Ya Timu (Liverpool na Arsenal) Yanasababishwa Na Kocha...
Tatizo La Kocha Kwa Timu Hizi Lipo Sehemu moja tu ambapo ni Ndani Ya Pitch...
Kuhusiana na Pitch timu inachofanya hapo ndiyo unaweza Ukaquestion tactics za Kocha!!!

Lakini Matatizo ya Timu za Arsenal na Liverpool si katika Pitch bali ni Umiliki ndiyo Chanzo Cha Kila Kitu...

Mkuu Ndimu Hizi Mbili Zimo Katika Timu 10 bora Tajiri Duniani nikimaanisha Kuwa Arsenal na Liverpool ni Tajiri Kuliko PSG, AC MILAN, INTERMILAN, JUVE, MONACO na A. MADRID na Ninathubutu Kusema Pia Ni Tajiri Kuliko MAN CITY na CHELSEA kwani Wao Utajiri wao si Wa Timu bali ni Wa WAMILIKI WAO...

Lakini Swali La Kujiuliza ni Je Arsenal na Liver Zinaendeshwa Kama Zinavyoendeshwa Timu Hizo??

Mkuu ni Kwamba Kroenke Lazima Utambue Yule ni Mmarekani Kama FSG wa Liverpool.. Shabaha Yao Si Trophy wala Sifa Kama Abramovic na Mansoor! Bali Wao Wapo Kibiashara Zaidi bila ya Kujali Mafanikio ya Timu...

Unazani Kwanini Kroenke na Familia Yake Hawataki Kumpa Kiti Usmanov Cha Kuingia Katika Vikao Vya Bodi?

Jibu Ni Kwamba Usmanov atahoji Mafanikio Ya Timu jambo ambalo Kroenke Hataki Kulisikia!!

Kwahiyo Member Wote wa Bodi Ya Arsenal ni "YES BOSS" na Kroenke Amewachagua Makusidi Kuwa ni Puppets wake Wa Kutohoji Kwa Chochote Anachofanya...

Mkuu Arsenal kwa Utajiri ilionao inauwezo Wa Kutengeneza Timu Zaidi ya PSG, Lakini Inaendeshwa Traditionally Zaidi Kiasi Ya Kwamba Timu imefanywa Ni Culture badala ya Club...

Kwahiyo Wenger usimlaumu bali Kadhibitiwa na Umiliki wa Timu, Na Bodi Nzima imemilikiwa na Kroenke, so afanyeje??

Hayo ndiyo yanayoikabili Liverpool Kiasi ya Kwamba FSG hawajawahi Kujadili Truphy! Bali Wao Hueka Vikao Vya Kujadili Mikataba Ya Kibiashara tu (Sponsorship)...
 
FT
Arsenal 0-0 CZV
Pamoja na kupata sare ila tume book a place for knockout stage.
 
arsenal inatia huruma hata hicho kikos kimeshindwa hatar sana
 
arsenal inatia huruma hata hicho kikos kimeshindwa hatar sana

Kimeshindwa kufanya nini... yaani mnakomaa kutafuta lawama kumbuka almost wachezaji wote sio regular player wa 1st team mzee na hawajapoteza hata game moja kaangalie wachezaji wa akiba niambie unamjua nani ukimtoa Cech,ishu ya msingi wameenda next stage,honestly nilitamani wangetolewa tu kwenye hii Mickey Mouse Cup.
 
Kimeshindwa kufanya nini... yaani mnakomaa kutafuta lawama kumbuka almost wachezaji wote sio regular player wa 1st team mzee na hawajapoteza hata game moja kaangalie wachezaji wa akiba niambie unamjua nani ukimtoa Cech,ishu ya msingi wameenda next stage,honestly nilitamani wangetolewa tu kwenye hii Mickey Mouse Cup.

kweli bana ilifaa arsenal atolewe kwenye hili kombe dogo la europa abaki kupigania kombe kubwa la epl ambalo anabebaga mara kwa mara bahat mbaya tu hakuingia kwenye kombe lake kubwa lingine la uefa ila mwakan yupo.
 
Cazorla hatihati kucheza tena mpira, madaktari wamwambia ashukuru tu kwamba anaweza kutembea
 
Kimeshindwa kufanya nini... yaani mnakomaa kutafuta lawama kumbuka almost wachezaji wote sio regular player wa 1st team mzee na hawajapoteza hata game moja kaangalie wachezaji wa akiba niambie unamjua nani ukimtoa Cech,ishu ya msingi wameenda next stage, honestly nilitamani wangetolewa tu kwenye hii Mickey Mouse Cup .

Something is better than nothing man,

So you better go trophless than this?

Cazorla's ankle,duh uyu mwamba naona kama career yake imefika mwisho.
e42d9ab2890bfbcb8844427681ea3a42.jpg

So sad, kwani mkataba wake umebakiza miezi mingapi?
 
All the best Gunners,we can do this,waungwana mtupe updates niko naikimbiza lami nimeikosa hii game.
 
Tunakwenda kumfunga Manchester city timu ambayo inaonekana tishio kubwa msimu huu hapo hapo nyumbani kwake.


[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom