McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Arsenal inatakuwa timu ya nne au ya tano mwisho wa ligi. Lakini haiwezi kushinda ligi. Manchester City, Manchester United and Tottenham are better team than Arsenal. Haya ni maoni yangu. Sababu: Their defence is not as good as other top teams.
Hiyo defence mbovu ya Arsenal umeiona kwenye game gani mkuu..?
