Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
Mechi ya leo kama ile ya Liverpool mwaka jana
Poleni na hongereni wakati unatuma hii sms hali yenu ilikuwa taabaniPresha inapanda presha inashuka!!!
Hongera sana BAK mambo yalikuwa magumu na ya kushtukizaKheeeeeeeee kheeeeeeeeeeeee WOW! What a start!
I did not expect this results at ALL!
Yeye ndo alibaki kushuhudia! hahahah
Asante mkuu, mwishowe tumechekaPoleni na hongereni wakati unatuma hii sms hali yenu ilikuwa taabani
Hongera sana BAK mambo yalikuwa magumu na ya kushtukiza
Yaah umeandika ukweli hali ilikuwa tete but ushindi mlioupata jana kwa style ile nao una raha yake ingawa ustahmilivu uliwahusuKabisa Mkuu mie draw ningeona ni ushindi pamoja na kuwa tulikuwa nyumbani. Sikutegemea performance kama hii Mkuu. Shukrani sana kwa hongera.
Ila naye alisababisha kufungwa goli moja, bado nyuma hakueleweki, tuna bahati, najuwa tuna wagonjwa ila naye Babu yuko loyal mno, mno...Hongera.. kwa udhamin wa braza mbavu a.k.a bodybuilder kolasinic.. huyu anatufaa..sent using my nokia ya tochi
Hongera sana mkuuMechi ya leo kama ile ya Liverpool mwaka jana
![]()
Hata nyie tunawashindaga kwa mbinde, ila tunawafungaga!Majirani mmeshinda kwa MBINDE
Kumbuka Mustafi, Konsienly, Gabriel na Per wote walikuwa nje. Yani beki zote za kati hazikuwepo, pale Wenger kachezesha makeshift ya left backs kucheza kama centre backs.Ila naye alisababisha kufungwa goli moja, bado nyuma hakueleweki, tuna bahati, najuwa tuna wagonjwa ila naye Babu yuko loyal mno, mno...
Walichojitahidi ni kutokuruhusu goli nne, ila bao tatu nyumbani sio kujitahidi huko.Kumbuka Mustafi, Konsienly, Gabriel na Per wote walikuwa nje. Yani beki zote za kati hazikuwepo, pale Wenger kachezesha makeshift ya left backs kucheza kama centre backs.
Binafsi nampongeza Monreal na Kolasinac , hawa sio centre backs lakini wamejitahidi kujaza pengo.
Wale sio centre backs, unalijua hilo? Monreal na Kolasinac ni either left backs au wing backs.Walichojitahidi ni kutokuruhusu goli nne, ila bao tatu nyumbani sio kujitahidi huko.
Najua, na nimekubali juhudi zao!Wale sio centre backs, unalijua hilo? Monreal na Kolasinac ni either left backs au wing backs.
Imagine kesho umchezeshe Giroud midfield, utaleta mrejesho. Tusubiri natural centre backs warudi, hapo ndio tunaweza kutoa judgement.
Safi sana kwa kupena moyo, ndiyo timu yetu, through thick and thin, ngoja niwatazame LiverpoolFC Napenda mpira wao..Kumbuka Mustafi, Konsienly, Gabriel na Per wote walikuwa nje. Yani beki zote za kati hazikuwepo, pale Wenger kachezesha makeshift ya left backs kucheza kama centre backs. Binafsi nampongeza Monreal na Kolasinac , hawa sio centre backs lakini wamejitahidi kujaza pengo.
Lakini ndio ukweli huo mkuu.Safi sana kwa kupena moyo, ndiyo timu yetu, through thick and thin, ngoja niwatazame LiverpoolFC Napenda mpira wao..