OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Msipaniki wakuu ...ni masuala ya kawaida tu.Mkuu, hii thread sio ya mizaha ya kitoto. Sisi wanazi wa AFC tunaiheshimu, acha kuleta utoto, chambua soka tutakuelewa.
Hapo ndipo napata maswali mengi,wewe ni shabiki wa football kweli au ndio wale wa netball ila unaibukia uku kujifunza kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app

️