Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yep Diaby kalegea, kaua timu... Halafu Fab naye alikuwa bado hajawa fiti...Mechi ijayo Nasri ataingia kati halafu Rosicky atacheza kushoto kama wakati wa ile 5 -0 ambapo Fab hakuwepo...Amini usiamini Barca itatolewa!
 
hahahahaha! Jirani unanichekehsa sana. Hutakiwi kuongea kuhusu Arse..vin au Gallas, wakati wanatoka tayari Barca wamekosa magoli kama 5 hivi....sidhani kama ni factor!

Kwangu mimi ni factor maana imepelekea kocha afanye unnecessary subs ikiwa ni pamoja na kumuondoa Song kwenye kiungo cha ukabaji na kumrudisha nyuma kama beki wa kati...Hii imepelekea wachezaji kama Rosicky na Eduardo wasiingie(inawezekana walikuwa kwenye nafasi ya kuingia kama subs)...So kuumia kwa wachezaji hawa kumechangia sana aisee,ndo maana unaona hata Cesc alipoumia(japo ni mwishoni mwishoni) ilikuwa ni vigumu kumtoa,akaendela kucheza hivohivo maana tayari tushamaliza sub 3(2 za lazima)
 
Hivi ni hasira za kutolewa na Inter ama?,mbona unakuwa na gubu na Arsenali hivyo bana???...Mmmetolewa subirini mwakani,subiri baada ya game ya pili na Barca Nou Camp tukifungwa na kutolewa rasmi ndo uanze kuchonga...Bingwa si Inter bana,Inter hachomoki Moscow,kapata ushindi mwembamba sana leo...Warusi hawafai wakiwa kwao,ukichanganya na hali ya hewa mhhhhhhhh..Inter inabidi wawe waangalifu sana
That's below the belt jirani! Football is an open game and everyone has the right to air his/her opinion....ndio maana mlikuwa wengi sana kule darajani siku Inter anatupa adhabu....that's life bro!
 
Kukosekana kwa Fabregas kusikusumbue aisee....AW atamuandaa ntu wa kuziba pengo la Cesc...Kuna mechi nyingi tu ambazo Cesc hajacheza na tumefanya vizuri🙂🙂🙂
Sasa inakuwa vipi Barca wawe na tatizo kwa mabeki? Maana kuna Milito, Marquez na Abidal anaweza kucheza pale!
 
This could end up be a blessing in disguise!! Akili yao leo ililenga kumkaba sana Fabregas asifurukute, na mcheo ukawa predictable. Kwa kutokuwepo kwake, mchezo unakuwa tofauti kabisa. Naamini bado tuna nafasi nzuri tu, pressure itakuwa kwao wiki ijayo!!
I'm sorry to say, lakini nafikiri wewe hujui kabisa ku-analyze jinsi mpira ulivyochezwa! Barca hawakuangaika kumkaba Fabregas, na wala sidhani kama Arsenal walimkaba Messi sana kwa sababu hakucheza nafasi anayocheza kila siku, leo kacheza nyuma ya Zlatan....na ninafikiri hili limefanywa makusudi. It's fair kukubali kwamba Arsenal walikuwa wabovu kupindukia! The positive thing ni kwamba Arsenal wamepata draw kwenye mechi waliyokuwa wapoteze kwa magoli mengi tu.
 
Sasa inakuwa vipi Barca wawe na tatizo kwa mabeki? Maana kuna Milito, Marquez na Abidal anaweza kucheza pale!

Kama uliangalia vizuri na lama unaijua Barca nao wana tatizo kubwa tu la ulinzi kote wako kamili lakini ulinzi wako ovyo-so hii ni football lolote laweza tokea kuna alifikiria magoli yangerudi?
 
Lile BWABWA lenu vipi leo, mbona haliweki picha hapa?!!
 
Kama uliangalia vizuri na lama unaijua Barca nao wana tatizo kubwa tu la ulinzi kote wako kamili lakini ulinzi wako ovyo-so hii ni football lolote laweza tokea kuna alifikiria magoli yangerudi?
Surely, the return leg depends 100% on which Almunia turns up on the day! Everybody knows he got two faces.
 
Wabongo bana mngekuwa na interest hata kukuza soka la home tungekuwa mbali.
Hivi game ya Simba na Yanga lini vileee?
 
Theo-Walcott-Arsenal-Champions-League-Quarter_2437771.jpg



Cesc-Fabregas-Arsenal-Champions-League-Quarte_2437792.jpg



Theo-Walcott-Arsenal-Champions-League-Quarter_2437786.jpg


They thought its all over ....


Refa katuminya sana leo 50 - 50 zote aliwapa Barca naona ana hisa na the mafioso
 
Hata utukane mkuu the name is Wacha1 chelsick mko nje ya haya mashindano nyie chungulieni tu wakati wababe wanachapa kazi timu yenu mbovu hata hamuwezi kufika tulipofika sisi hasira hasara muulize mafia mkuu wako au taliban supporter. khe kheeeeeeeeeee
 
Hata utukane mkuu the name is Wacha1 chelsick mko nje ya haya mashindano nyie chungulieni tu wakati wababe wanachapa kazi timu yenu mbovu hata hamuwezi kufika tulipofika sisi hasira hasara muulize mafia mkuu wako au taliban supporter. khe kheeeeeeeeeee
Thanks for confirmation, I didn't know you're the p...!
 
Ila Diaby kalegea sana leo......

Vijana watafanya kazi Nou wala hakuna shaka.

Well said mkuu....Uingereza wamefulia mwaka huu...Sema Barca nao wakishambuliwa wanachachawa..hahaaaaaaaaa

Arsenal pamoja na kuanza vibaya lakini wameweza kuwa draw mambo bado nimeona kulikuwa na fisi wengi kutoka Darajani kila siku wanasali tu ....

😀😀😀 ha ha ha haaaa hhaaa...!

WACHA!
Missing you buddy!!!!

Mkuu nilikuwa Emirates leo si nilisema hii mechi haitanipita ... ...

Tripo toka asubuhi nilikuwa nasisitiza kuwa tatizo ni hofu, sasa imeondoka, lazima barca atolewe kwao!

Beki sasa hawana maana Puyol na Pique visiki vyao wamepata kadi, washambuliaji wetu watakuwa wamepona!

Ushindi wa ugenini kama tulivyowapiga porto no worries there Come on Gunners!

...something is definately wrong with Barcelona, either wanajiamini na magoli yao mawili ya ugenini au Arsenal wamegundua 'upenyo' which makes Nou Camp encounter more entartaining...

We'll have nothing to lose kule!

There is only ome thing ambayo wapinzani wetu hawapendi kusonga mbele kwa kila mbinu I can't wait mechi ya Nou kwa sababu hata Barca wanafahamu nini kitatokea. Tupo half time ... ...
 
hamuwezi kufika tulipofika sisi hasira hasara muulize mafia mkuu wako au taliban supporter. khe kheeeeeeeeeee
You got a fluke to be there, that's a fact! That's why you didn't and will never show up against Barca. They stuffed your Fatty Arse!
 
Vijana watafanya kazi Nou wala hakuna shaka.



Arsenal pamoja na kuanza vibaya lakini wameweza kuwa draw mambo bado nimeona kulikuwa na fisi wengi kutoka Darajani kila siku wanasali tu ....



Mkuu nilikuwa Emirates leo si nilisema hii mechi haitanipita ... ...



Ushindi wa ugenini kama tulivyowapiga porto no worries there Come on Gunners!



There is only ome thing ambayo wapinzani wetu hawapendi kusonga mbele kwa kila mbinu I candream on 't wait mechi ya Nou kwa sababu hata Barca wanafahamu nini kitatokea. Tupo half time ... ...
Hahahaha....dream on batty boy.
 
BTW, I'm truly sorry ( I really mean it) for Gallas, he seems to be off for the rest of the season.
 
Almunia amekula nini leo?!!!!! Is the man of the match so far....and that tells you something!

duuh! naona leo hakuna mtu hapa, kila mmoja kakimbia, kiroho juujuu!!!!! ngoja nami nitoke!

Is it Barcelona vs Hull city?

Gallas's out of gas!

No chance for Fabregas at Nou Camp, third yellow card!

boooooooooooo!!!!!!!! Half time......Fat Arse play beautiful football, MY FOOT! Arsenal is rubbish!! PRETENDERS AT BEST..!!!!

huuuuuureeeeeeeee!

labda mtacheza sasa!

OK! 1-0 though!

hahahaaaaaaaaaaaaaaa

PRETENDERS!!!!!!!!!!! Come on Wolves!!!!!!

Nope! We drew with Barca in a match we should have won if it wasn't for the stupid referee.

Hahahahaha! That was an away goal, but the game ended 1-1.

Ok Walcott, show me the comeback son!

He looks like your 12th player!..lol

ball possession first half 71% Barca 21% Arsenal....that tells u something.

Keep dreaming, 2-2 is very harsh to Barca!

what's that stupid Henry doing? He's giving away the ball all the time!

Halafu "EXPERTS" wa Fat Arse watakwambia refa kawaonea kwa sababu wanacheza mpira mzuri sana!

I agree, as a 12th Fat Arse player.

He's stupid because he can't differentiate the color of the shirts!

Barcelona simply blew chances after chances....Ngoja tuone watafanyaje Nou Camp!

Unaongelea Manure waliowafunga mechi 2 msimu huu au ipi hiyo?

Ok. Kojoa kalale! I can understand your thinking, it's an Arse syndrome. Any team that send out Chelsea is bound to be a Champ, my money is on Inter Milan this year!

You forgot to mention that Fabregas will be out as well. By the way, Barca don't really need centre backs, do they? Sikuona kama mabeki wao walikuwa na kazi kubwa ya kufanya leo hapo Imarati.

Hahahaha! No Siamii Manure ila nataka kuwa as fairly as possible!
Magoli manne tumeyaona ndugu yangu, lakini mawili yalikuwa on the wrong side of the pitch and very UNDESERVED!!

Talk about a moron? Only one Peasant.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom