Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Nitakuwepo mkuu, sekunde kwa sekunde! Inaonekana hata mpira wenyewe hukuangalia kama ulikuwa mzigoni....kwa hilo nitakusamehe.kuwa "unlucky" sio kweli,ukweli ni kwamba u were not good enough this year.
matokeo 2-2 sasa kuna ugumu gani wa ku-swallow hapa?
mechi ya camp nou nakukaribisha mkuu hapa jukwaani tutaenda dakika baada dakika ,leo ulinikosa kwa vile nilikuwa kazini tu.lazima ukimbilie kwa mourhino jumanne ijayo ha ha ha