Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaongelea Manure waliowafunga mechi 2 msimu huu au ipi hiyo?

eheee, ushaanza kushabikia manure sasa hata wikiendi haijafika?
au ndio unahamisha kambi mazee?

Ngoja nikalale mie,...Peasant you need a break or a 'kit kat' bana. Mlitaka magoli hayo manne mmeyaona.

Kalaleni sasa 🙂

~~~~~~ZZZzzzzzzz!!!....~~~~~
 
Ukweli ni kwamba, timu za Uingereza mwaka huu hatua hii ndio ukomo wao wa UCL. Labda yatokee maajabu. Timu pinzani zimejiandaa zaidi, zinadefend vizuri zina-attack vilevile.

Well said mkuu....Uingereza wamefulia mwaka huu...Sema Barca nao wakishambuliwa wanachachawa..hahaaaaaaaaa
 
Watani sijui niwape hongera ama pole....lakini mmejitahidi.
 
Sioti mkuu Peasant.....namanisha Arsenal ndio watakuwa washindi, watachukua kombe
Ok. Kojoa kalale! I can understand your thinking, it's an Arse syndrome. Any team that send out Chelsea is bound to be a Champ, my money is on Inter Milan this year!
 
boooooooooooo!!!!!!!! Half time......Fat Arse play beautiful football, MY FOOT! Arsenal is rubbish!! PRETENDERS AT BEST..!!!!

Mkuu...Mbona nanyi mmepigwa na Inter Darajani...Mlikuwa Pretenders?...Binafsi nawasifu wachezaji wa Arsenal kwa uvumilivu wao waliounesha kiasi cha kuweza kubadilisha mchezo na kuwafanya Barca waanze kudefend badala ya kushambulia(wametushambulia karibu 75% ya mchezo)...Pia kuumia kwa Arshavin na Gallas kumevuruga kabisa Hisabati za Arsene...Hata hivyo lolote lawezekana kwenye football(mbona Inter alimchapa Chelsik nyumbani Datajani?) So miujiza yaweza tokea Nou Camp,twaweza wachapa hawa aisee
 
Stupid arsnl playerz r so nervous of big games till last minutes.

Kwa kweli naogopa camp nou kama mambo ndo hivi kuogopa wanaume wenzao.
Ni vizuri umeona hilo! Arsenal players don't have balls when it really matters!

Wajitahidi kuzoea majina bana. Mbona MESSI wameweza kumficha mpaka akawa substituted!
Messi katolewa kwa sababu mechi tayari ishaonekana mwelekeo, hakuna haja ya kum-risk wakati kazi imekwisha.

Arsnl have 2 stop being lazy.
No comment.
 
Ok. Kojoa kalale! I can understand your thinking, it's an Arse syndrome. Any team that send out Chelsea is bound to be a Champ, my money is on Inter Milan this year!

Hivi ni hasira za kutolewa na Inter ama?,mbona unakuwa na gubu na Arsenali hivyo bana???...Mmmetolewa subirini mwakani,subiri baada ya game ya pili na Barca Nou Camp tukifungwa na kutolewa rasmi ndo uanze kuchonga...Bingwa si Inter bana,Inter hachomoki Moscow,kapata ushindi mwembamba sana leo...Warusi hawafai wakiwa kwao,ukichanganya na hali ya hewa mhhhhhhhh..Inter inabidi wawe waangalifu sana
 
da gemu lilikuwa kali...kweli washikaji wanapiga boli..anyway tutawafunga magoli kwao!

Acha kupotosha umma tafadhali, mechi haikuwa kali kama unavyotaka watu waamini. Only one team turned up, and it wasn't Arsenal.
 
Tripo toka asubuhi nilikuwa nasisitiza kuwa tatizo ni hofu, sasa imeondoka, lazima barca atolewe kwao!

Beki sasa hawana maana Puyol na Pique visiki vyao wamepata kadi, washambuliaji wetu watakuwa wamepona!
You forgot to mention that Fabregas will be out as well. By the way, Barca don't really need centre backs, do they? Sikuona kama mabeki wao walikuwa na kazi kubwa ya kufanya leo hapo Imarati.
 
Arse bana..yaani wanaishi ktk denial.Sasa hivi zile chance za first half Barca wangezitumbukiza kimiani si ingekuwa aibu?

Nadhani tungeenda kwenye kama 7-0 au zaidi

Teh teh...Mpemba bana,utaishia kudhani tu,ndo maana kila timu inakuwa na Mlinda mlango(Goal keeper),yeye kazi yake ni kulinda lango lisiingiliwe hovyohovyo,na hiki ndicho alichofanya Manuel 1st half
 
You forgot to mention that Fabregas will be out as well. By the way, Barca don't really need centre backs, do they? Sikuona kama mabeki wao walikuwa na kazi kubwa ya kufanya leo hapo Imarati.

Kukosekana kwa Fabregas kusikusumbue aisee....AW atamuandaa ntu wa kuziba pengo la Cesc...Kuna mechi nyingi tu ambazo Cesc hajacheza na tumefanya vizuri🙂🙂🙂
 
eheee, ushaanza kushabikia manure sasa hata wikiendi haijafika?
au ndio unahamisha kambi mazee?

Ngoja nikalale mie,...Peasant you need a break or a 'kit kat' bana. Mlitaka magoli hayo manne mmeyaona.

Kalaleni sasa 🙂

~~~~~~ZZZzzzzzzz!!!....~~~~~

Hahahaha! No Siamii Manure ila nataka kuwa as fairly as possible!
Magoli manne tumeyaona ndugu yangu, lakini mawili yalikuwa on the wrong side of the pitch and very UNDESERVED!!
 
Mkuu...Mbona nanyi mmepigwa na Inter Darajani...Mlikuwa Pretenders?...Binafsi nawasifu wachezaji wa Arsenal kwa uvbumilivu wao waliounesha kiasi cha kuweza kubadilisha mchezo na kuwafanya Barca waanze kudefend badala ya kushambulia(wametushambulia karibu 75% ya mchezo)...Pia kuumia kwa Arshavin na Gallas kumevuruga kabisa Hisabati za Arsene...Hata hivyo lolote lawezekana kwenye football(mbona Inter alimchapa Chelsik nyumbani Datajani?) So miujiza yaweza tokea Nou Camp,twaweza wachapa hawa aisee
hahahahaha! Jirani unanichekehsa sana. Hutakiwi kuongea kuhusu Arse..vin au Gallas, wakati wanatoka tayari Barca wamekosa magoli kama 5 hivi....sidhani kama ni factor!
 
Barcelona simply blew chances after chances....Ngoja tuone watafanyaje Nou Camp!

Hili ndilo la msingi...Tusubiri tu dakika 90 za game ijayo...Haya mengine tumuachie Sheikh Yahya na Mpemba Abdulhalim(though utabiri wake huwa unabuma😀😀)
 
Kukosekana kwa Fabregas kusikusumbue aisee....AW atamuandaa ntu wa kuziba pengo la Cesc...Kuna mechi nyingi tu ambazo Cesc hajacheza na tumefanya vizuri🙂🙂🙂

This could end up be a blessing in disguise!! Akili yao leo ililenga kumkaba sana Fabregas asifurukute, na mchezo ukawa predictable. Kwa kutokuwepo kwake, mchezo unakuwa tofauti kabisa. Naamini bado tuna nafasi nzuri tu, pressure itakuwa kwao wiki ijayo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom