Mimi ni mtani number 1.Huwa unakuja huku tukipatwa na balaa tu!!
Doooojhhhh !!! Pole sana....umeona eeeh maumivu yake? ...halafu weee ukija kule ndo unazidigi kutuchafua....ila mm silipizi kisasi maana nikisema nirevange utakimbia humu halafu nitawaumiza wengiSio siri moyo unaumaa yaani acha tuu but growing up means kulego vijimambo na kusettle mambo![]()
.Bila kumtoa Wenger hii hali haitaisha.Magonjwa yanayosababishwa na kocha ambaye mikakati yake imepitwa na wakati. Yaani nilikuwa nashangaa mno kuwaona wameamua wote kurudi nyuma kucheza kama vile zimebaki dakika mbili au tatu mpira kwisha.
Jirani kwa visingizio sikuwezi!!!....... jana nimekumulika humu hadi kwa tochi holaaa... pole jirani yangu mwee!!!... jirani jitahidi nenda hata toilet uwe tu online si unajuwaga ninavyokupenda sasa ukiwa missed hapa sinaga furahaHonestly Man city wamestahili 3Pts leo ila bado siogopi kusema mimi ni Arsenal najua wamejaa hapa kutoka nyumba mbalimbali natamani niwe Online ila serikali imenituma Ndalambo(Mbeya) uku kama wametengwa na nchi.

Kwani wewe kule kwetu unakuja tukiwa na amani hahaahhaha.....pole kipenzi !!Huwa unakuja huku tukipatwa na balaa tu!!

Jamani tutoeni pole turudi kwetu majirani msiba ulio wakumba mkubwa tuwape maneno ya faraja kama hivi.Doooojhhhh !!! Pole sana....umeona eeeh maumivu yake? ...halafu weee ukija kule ndo unazidigi kutuchafua....ila mm silipizi kisasi maana nikisema nirevange utakimbia humu halafu nitawaumiza wengi![]()
![]()
.
Ile sub ya kumtoa kiungo na kuingiza mshambuliaji ilikuwa nzuri kweli wakati mnashambuliwa? kama ni kamari basi ilikuwa kamari kweli au mimi ndio sikumuelewa wenger pale!Huu ni mwaka wa ngapi Mkuu hatujashinda kombe lolote ukiondoa lile kombe mbuzi la mwaka juzi? Tuna timu nzuri sana mwaka huu ya kuweza kula sahani moja na Chelsea lakini ndiyo wanatutupa mkono kwa sababu tu ya kukosa mikakati ya kimchezo ili kuhakikisha ushindi kila mara tunapokuwa ugenini au nyumbani. Nina imani kubwa kama tusingeamua kulinga goli moja na kucheza attacking football tungeweza kuongoza goli moja hata mawili na hivyo kuwavunja nguvu kabisa MANC pamoja na kuwa walikuwa kwao.
Walivyo na hasira sijui!happy birthday SanchezMumtakie Sachez birthday wishes jmn hata kama Mmegoma kumuongezea mshahara
Bila kumtoa Wenger hii hali haitaisha.
Ile sub ya kumtoa kiungo na kuingiza mshambuliaji ilikuwa nzuri kweli wakati mnashambuliwa? kama ni kamari basi ilikuwa kamari kweli au mimi ndio sikumuelewa wenger pale!
Kwa hapo tupo pamoja huyo babu yenu anazeeka vibaya ile kitu mpaka sasa hivi sijaielewa alimaanisha nini! pana kasi flan hivi mnayo hata lile goli lenu ilikuwa counter flan hivi very amazing ila mkija kupoteana sana duh inakuwa kazi thanks mna golikipa anae timiza majukumu yake mpaka ya ziada angekuwa yule dogo mlio mpeleka roma sijui au labda angekuja ku improve.Mie Mkuu huyu mtu simuelewi kabisa kusema kweli. Hata mimi nilishangaa pia.