Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
mwaka huu ni maumivu tu
mewahi kuona ng'ombe jike narembua?
Kwahio Sane yuko mbele ya huo mstari?!View attachment 447861
Naona ulikuwa unaangalia kwenye TV ya mbao ... .... khe kheeeeeeeeeeeeeee
agenda ilikuwepo ili kuwakumbatia mancs na refa leo kawapa zawadi same
na Everton a corner which was not a corner.
Usiwe na wasi wasi na Gunners tupo sawa . .. ...... its a marathon
Umeanza lini kuitana my dear na uyu mtu? unazidi kuniongezea machungu tu na hii Xmas yanguWe phucked![]()
![]()
Umeanza lini kuitana my dear na uyu mtu? unazidi kuniongezea machungu tu na hii Xmas yangu
umenifanya nikasahau machungu ghafla.AmenAtaachwa huru
Lakini BAK, wiki iliopita wakati mnaongoza ligi hamkuwa na mawazo ya kumtoa Wenger. Ila baada ya kurudi nafasi yenu ya 4 ndo hayo mawazo yameanza kuja. Kwanini?Hata wachezaji wanapoteza confidence waliyokuwa nayo hivyo kuanza kufanya vibaya katika mechi ambazo tunastahili kushinda. Timu nyingine ikipata goli ari inaongezeka ya kutafuta goli linguine zaidi ili kuwademoralize wapinzani, siye tukajiona tumeshashinda na kuamua kulinda kagoli kamoja.
We acha matani bhana. Ozil alikwepoGame kama hizi sio za kumuacha ozil bench..
Mbona rahisi tuNo mustafi No party haki ya mungu Xmas ngumu hii
Acha kufananisha Arsenal na vitu vya kipuuzi weweArsenal ni kama CCM aisee, ni ile ileee haibadiliki miaka yote
